Habari zenu wakuu, naomba mwenye ufaham fasaha juu ya ubadilishaji wa fedha za kigeni na yetu, nasikiaga watu wanafanya bishara yakubadilisha fedha kila kukicha mjini, je ni nani ambaye anajua sehem ambao unaweza pata lets say kununua dollar cheap kabisa na kwenda kuiuza kwa bei ya juu kwenye hizi bureau, nawakilisha wakuu.