Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wapendwa habari za jioni. NATAMANI sana kuanzisha biashara ya kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi ya hapa nchini mwetu, kama mjuavyohi nchi yetu ina mifugo mingi sana.NAOMBENI kwa wale wenye...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
wakuu poleni na kazi za ujenzi wa taifa, mie ni mfanyabiashara wa kati,ninabiashara ya duka la nguo za watoto wa siku 1 na kuendelea za kike naza kiume.sijawahi kopa benk wala sacoci yoyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi wanajamvi Mimi ni mjasiriamali mdogo, nimenunua suzuki carry zangu 3 toka japani sasa tokea zianze kazi zina kama wiki 3. Ninaomba kama kuna mtu anaweza kunishauri ni jinsi gani ninaweza...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Miliyonimoja nanusu mkoa wa morogoro naweza kufanyia biashara gani.ambayo itanilipa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wapendwa, Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Hello wadau mimi ni mfanyabiashara wa kati, nnauza tikiti maji kwa bei nzury na kwa uhakika (reliable). Tikiti zangu zinakuwa za kiwango cha juu sana na hata za kiwango cha kati ukitaka utapata...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Salaam, Nina lori (semi-trailer) flatbed linaloweza kubeba mpaka tani 30-31, natafuta mtu/kampuni yeyote iliyotayari kushirikiana katika kusafirisha mizigo/containers kwenda sehemu mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
I hope this information will motivate you and provide you with courage when you experience ups anddowns in your career, business or entrepreneurship initiatives in particular. Not everyone who's...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya kuona usaidizi na ushauri wanaopata wenzangu ,nikaonelea ni vyema nami nipate ushauri kwa manufaa yangu. Nafikiria kufungua biashara ya books n stationery mjini songea, mwanipa ushauri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu wajasiriamali wenzangu ningependa kufahamu mtu mwenye mtaji wa tsh 400000 (laki nne) anaweza kufanya biashara gani yenye kulipa na endelevu? Namdogo wangu anamaliza chuo kikuu na anapenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakubwa nawasalimu Baada ya salamu naomba kuwauliza natamani kuanzisha biashara ya kuosha magari na pikipiki hapa jijini Dar es Salaam. kwa wazoefu wa biashara je aina hii ya biashara inaweza...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habar wana Jf, mi niko dar,Nahitaj kukopa mil.5 niweze iirudisha kwa riba ya miaka miwil au mitatu,je ni taasis gan au bank gan naweza wa consult,dhamana ni hat ya nyumba yangu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vipi wanajamii! Hivi ni wapi mtu unaweza kupata mafunzo ya ujasiriamali hasa juu ya utengenezaji na ufungaji wa bidhaa ndogondogo?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
jamani walio kanda ya ziwa na mbeya bei ya mpunga ni ngapi kwa sasa? nahitaji kama gunia 100 hivi
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndugu wana JF Shamba lenye ukubwa wa ekari 6 linauzwa. Shamba hili lipo maeneo ya Msalato umbali wa km 10 kutoka katikati ya mji wa Dodoma. Shamba hili lipo karibu na uwanja mpya wa kimataifa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
rejea kichwa cha habari hapo juu ningependa kujua jinsi navyoweza kuwa mjasiriamali kwa kutumia internet
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa, Mimi ni practioner wa Microfinance kwa zaidi ya muongo mmoja, naendesha kampuni inaitwa Chakarika Credit Facility ambayo ni limited by guarantee. Kazi imekuwa ikienda vizuri sana kwa...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Sina kazi ya kuajiriwa kwa sasa, nimeamua kuacha kwa sababu ya kutovulia kufanya kazi na ndugu zetu wa Asia. Nina Million 5 katika account yangu. Nime plan kufungua Grocery pamoja na kibanda...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajamii. Napenda kufahamu kama Biashara ya kutengeneza na kufunga curtains majumbani na maofisini kama inalipa nzuri haga bongo, na kama kuna makampuni yapo yanafanya biashara hii kwa faida.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nafikiria kutumia kaakiba kangu kununua pikipiki kwa ajili ya biashara ya bodaboda. Naomba ushauri kama ni biashara nzuri kufanya au nipige chini. Km unaona hailipi nipe ushauri wa biashara...
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Back
Top Bottom