Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Kwa yeyote mwenye pad za ps 2 kuna mtu anaziitaji haraka. Anasema ziwe za mtumba . Ni pm kama unazo. Wa dar na moro.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta korosho ambazo zina quality nzuri. Nataka ambazo nitazirost mwenyewe. Nahitaki kg 10 kwa leo leo. Naomba msaada. Nipo dar
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Karibuni Bata Mzinga wakubwa, majike wanataga na madume wanapanda, jike laki 1 dume 90. Karibuni pia kuku choatara vifaranga na mayai. KARIBUNI WOTE. 0682169798 DSM!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakubwa naomba kwa anayejua kuhusu selcom anipe no zake nataka kupata Maelezo kidogo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF, Natumaini mnaendelea salama,mimi n mwanamke ambaye nimebahatika kuwa na shamba langu Kibaha sasa nilikuwa nataka kulima. Je kwa mwezi huu wa january naweza lima zao gan? Maji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anatafutwaa Mdada mzuri wa barbershop....iko Ubungo near stand ya mkoaaa.... Call 0752-109265 kwa Maelezo zaidi.....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Redirect
Habari zenu wanaJF. natumaini mnaendelea vema na shughuli zenu za kimaendeleo. ninaomba msaada wa kutambua maeneo yenye wakazi na watumiaji wengi wa vifaa vya pikipiki. endapo kuna mtu anaweza...
0 Reactions
Replies
Views
"There are two primary choices in life: to accept conditions as they exist, or accept the responsibility for changing them." – Denis Waitley Katika maisha, mazingiara, biashara n.k kuna mambo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello people Msaada wa ushauri pls nimekuja na palm oil sample kutoka far East Asia na nintaka ku import kwa kiasi kikubwa, ni hatua gani ninapaswa kuzifata ili kupata kibali cha kuingiza kwa kua...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Amazing Things That Will Happen To You, If You Join The Team Now. Green World Distributor. It's as simple as this........Green World Distributor. Distributors get rewarded for the right behavior...
0 Reactions
4 Replies
14K Views
Kampuni ya Edmark kutoka Malaysia yenyemakao makuu Masaki pangani street.tunauza virutubisho vya kupunguza unene,tumbo na kitambi.vimethibitishwa na TFDA kua havina madhara. Mawasiliano...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tafadhali kwa yeyote mwenye ufahamu wowote wa kuuza aluminium ikiwa pamoja na uzalishaji wa bidhaa zake kama madirisha, milango, meza, viti nk. Anishauri ili nijitupie humo kwenye hii mambo. Niko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa mbinu za kufanikisha biashara ndogo ya upakaji rangi kwenye nyumba za kuishi, shule, na majengo mbalimbali, kwa mfano mahitaji gani niwe nayo ya kuanzia? Mafundi wangapi? Wa level...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepata sh milioni 4 Kama malipo ya NSSF Vipi biashara gani ninaweza kufanya ikanisaidia kuendesha maisha yangu NAOMBENI USHAURI NDUGU ZANGU
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nauza vifaranga vya kienyeji venue chanjo zote kila kifaranga sh 25000 nipo kibaha kwa mfipa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
natengeneza blog kwa ajiri ya kukuza biashara yako kwa 15,000/= tu.kama upo serious nicheki 0716385824
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Redirect
Habari zenu wakuu, naomba mwenye uzoefu wa biashara hii, anipe ushauri, maana nina kamtaji kangu kama 4m, maana naona ajira zimekuwa adim sana, tafadhali ushauri wenu utanisaidia sana.
0 Reactions
Replies
Views
Kwa mahitaji ya vifaranga, na mayai ya kuku chotara tuwasiliane hapa... 0682169798.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana JF, Natafuta tabibu wa mifugo hasa nguruwe. Nahitaji anishauri na anisaidie kutibu pia. Nguruwe wangu wapo kama saba maeneo ya mapinga njia ya bagamoyo. Mwenye number ya tabibu mzuri...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani biashara nzuri ya kufanya kwa mikoa ya Kaskazini ni ipi.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom