Saloon ya kiume

Saloon ya kiume

MTOTO YATIMA

Senior Member
Joined
Jul 1, 2012
Posts
147
Reaction score
58
Natahitaji kufungua saloon ya kiume Arusha ya kawaida tu '' ECONOMY SALOON'' naomba ambaye anaweza kuniatia break down ya budget shilingi ngapi nitahitaji kuwa nazo ili saloon ifanye kazi kuanzia machine hadi kitambaa na kama wewe ni supplier itakua poa zaidi mimi nipo Arusha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom