Habarini wana jamvi ,
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kusaidiwa kimawazo.
Nilienda kwa ndugu yangu kumuomba anikopeshe fedha kwa ajili ya mtaji lakini kinyume na matarajio yangu, ndugu...
SIRI YA MAFANIKIO YA KUWA TAJIRI.
Hii ni siri ambayo nimekuwa nikiitumia katika maisha yangu binafsi na wengine wengi waliofanikiwa huitumia pia na imewasidia sana kufikia malengo makubwa...
Msaada wenu waungwana, nikiwa hapa Dar naweza kuuza wapi
madini km Almasi, dhahabu n.k naomba msaada wenu tafadhali
kwani ni zaidi ya mwezi sasa sijajua nikauzie wapi mzigo wapu
Msaada wana jamvi.
Nahitaji till numbers za tigo na voda lakin ziwe kwa majina yangu.
Ninahitajika kuwa na nin na nini pia inachukua muda gan kuzipata.
Mwenye mawazo tusaidiane...
Wana jamii habari zenu, nafikria kufungua stationery office
naomba wenye ufahamu wa gharama zake hasa photo machine, printer, compunter, nk aniambie natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani, na...
Kwa mwenye kumfahamu Bibi/Bwana Shamba aliyebobea katika kilimo cha maembe naomba anipatie contacts za huyo mtaalamu.
Shamba la Miembe lipo Dar es Salaam.
Shukrani.
Habari wadau?
Mie ni kijana nnaeanza ujasiliamali na nna fremu ya duka dogo sana ( kigoli) maeneo ya kkoo.
Sasa nimenda kufuatilia tin pale Lumumba leo na kabla ya makadirio naambiwa kodi mil 2...
How are you!?
Namaanisha kwamba mtu ni mwajiriwa serikalini au sekta binafsi lakini anapenda kujiongezea kipato kwa shughuli za ufundi baada ya kutoka kazini.
Naamini wazoefu mpo humu tafadhali...
Habari wanaJF,
Me nipo chuo mwaka wa 1 ila nimeanzisha mradi wa ufugaji Nguruwe na pia natarajia kuanza na kuku, bata, mbuzi, kondoo kwa ajili ya kufanya supply yangu kwenye mahotel na migahawa...
Wakuu,
Ninahitaji kuanza kufuga nguruwe pembezoni mwa Dar es Salaam hivyo kabla sijaanza nimeamua kuanza kuangalia bei za vyakula vya hiyo mifugo ili nipate picha ya gharama za uendeshaji...
Naomba ushauri kwa mtu yeyoye ambaye anajua biashara au mradi ambao unaweza kuingiza kipato kwa muda mfupi (mwezi mmoja mpaka 6) pasipo uhusika wa moja kwa moja (direct involvement). Gharama...
Hi wanaJF
naomba anaelewa bei ya vifaa vya kisasa vya saluni ya anipe mtiririko nataka mke wangu asikae nyumbani akatafute na yeye sababu ana uchungu na maisha bora.
Habari wanajamvi.
Nikiwa kama kijana niliyeamua kujiajiri mwenyewe kwa mtindo wa kipekee wa kuzifuata fursa.
Nimekuja jamvini ili nipate kujua RATIBA ZA MINADA HASA MAENEO YA PWANI kwa kuanzia...
Salamu wakuu
Kuna dogo mmoja nataka kumuwezesha apate fweza kidogo ya kujikimu. Nataka kumsaidia afanye biashara ya ku-refill wino wa printers na photocopy machines hapo kwetu Songea mjini. Ni...
Habari wakuu,
Katika kuperuzi mitandaoni nikaona kuna mabanda ya kisasa yanayoitwa chicken cages ambayo mayai hujikusanya yenyewe na kuyasafisha ni kazi rahisi.
Naomba msaada ni wapi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.