Habarin Wakuu,Mim ni mkazi wa Msoma mjini,nataka kuanza biashara ya kuku wa kienyeji niwe naleta hapa msoma mjin nakuwauzia wachuuzi,napenda kujua kwa wenyeji wa Msoma,ni vijiji Gan vya karib naweza kua napata kuku kwa bei rahis na kuleta mjin.natanguliza Shukrani.