Karibuni Bata Mzinga wakubwa, majike wanataga na madume wanapanda, jike laki 1 dume 90. Karibuni pia kuku choatara vifaranga na mayai. KARIBUNI WOTE. 0682169798 DSM!
Habari wana JF,
Natumaini mnaendelea salama,mimi n mwanamke ambaye nimebahatika kuwa na shamba langu Kibaha sasa nilikuwa nataka kulima.
Je kwa mwezi huu wa january naweza lima zao gan? Maji...
"There are two primary choices in life: to accept conditions as they exist, or accept the responsibility for changing them." – Denis Waitley
Katika maisha, mazingiara, biashara n.k kuna mambo...
Hello people
Msaada wa ushauri pls nimekuja na palm oil sample kutoka far East Asia na nintaka ku import kwa kiasi kikubwa, ni hatua gani ninapaswa kuzifata ili kupata kibali cha kuingiza kwa kua...
Amazing Things That Will Happen To You, If You Join The Team Now.
Green World Distributor.
It's as simple as this........Green World Distributor.
Distributors get rewarded for the right behavior...
Kampuni ya Edmark kutoka Malaysia yenyemakao makuu Masaki pangani street.tunauza virutubisho vya kupunguza unene,tumbo na kitambi.vimethibitishwa na TFDA kua havina madhara.
Mawasiliano...
Tafadhali kwa yeyote mwenye ufahamu wowote wa kuuza aluminium ikiwa pamoja na uzalishaji wa bidhaa zake kama madirisha, milango, meza, viti nk. Anishauri ili nijitupie humo kwenye hii mambo. Niko...
Naomba kujuzwa mbinu za kufanikisha biashara ndogo ya upakaji rangi kwenye nyumba za kuishi, shule, na majengo mbalimbali, kwa mfano mahitaji gani niwe nayo ya kuanzia? Mafundi wangapi? Wa level...
Habari wana JF,
Natafuta tabibu wa mifugo hasa nguruwe. Nahitaji anishauri na anisaidie kutibu pia. Nguruwe wangu wapo kama saba maeneo ya mapinga njia ya bagamoyo. Mwenye number ya tabibu mzuri...
Bata mzinga wadogo wanapatikana kwa Sh.25,000-40,000 na wakubwa wanapatikana kwa Sh.90,000. Kwa atakayehitaji anitafute kwa namba hii: 0753249862. Karibuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.