Project: Kusafirisha mchele kutoka mikoani kuja Dar

RECYCLER

Senior Member
Jan 14, 2012
104
10
Naombeni ushauri wana JF nataka kufanya biashara ya kuuza mchele kwa jumla kutoka mikoani kuja dar, yoyote mwenye uzoefu na biashara hii mawazo yake ni muhimu sana kwangu.
 
Mkuu hiyo Biashara ni nzuri sana,
Ila katika hali na dunia ya sasa ni bora ukafanya biashara ya ku ad value yaani huo mchele wako unatakiwa kuuongezea thamani kabla ya kuuza, make bila kuuongezea thamani itakuwa ni kazi bure mkuu na ili ikulipe utakuwa unafanya usanii wa kuchanganya Mchele wa Mbeya na wa Moshi au mchele wa mbeya na mchele wa kutoka nje ya nchi hapo itakulipa ingawa sio sustainable business,

Unacho takiwa kufanya ni kuwa na vifaa kama
1. Offisi ya kufanyia grading and packaging

2. Mashine ya kufanyia packaging
Pouch_Sealing_Machine.jpg

Hii mashine hutumika kufungia mifuku migumu kama ile mifuko ya Viloba/Pombe na ni nzuri kwa kufanyia packaging ya vitu mbalimbali

3. Vifungashio mbalimbali
789.jpg



PE_NY_plastic_bag_for_rice_packaging.jpg

Hapa unaweza kutengeneza lebo yako kwenye mifuko na ukawa unauza mchele ulio fanyiwa packeging, hapa itakuwa umeongeza thamani kubwa sana katika Mchele wako, Lakini hii ya kutoa mzigo Mbeya na kuuleta Dar na kusubiri huruma ya madalali ni mambo ya kizamani sana lazima tubadilike
 
Hiyo mashine inauzwa sh. ngapi na inapatikana wapi,vifungashio na kuweka lebo vinapatikana wapi na kwa bei gani@KOMANDOO
 
Thanks @KOMANDOO hiyo concept inatwa Uongezaji wa mnyororo wa thamani na hiyo ndio issue kwani inapanua soko zaidi na kukupa uhakika wa kupiga Super Profit na ina tengeza ajira nyingi zaidi .@RECYCLER idia yako inafanana na yangu ila mimi nimeanzia shambani yaani kwenye Uzalishaji na idia yangu tena ika-intercept na @KOMANDOO. Hasa kwasababu mitizamo inagongana waonaje twende nalo kwa kina kuliko kila mtu kivyake.,maaana jf ni kutuunganisha au! ,hata kama kuna mwingine ni vema
 
  • Thanks
Reactions: YCS
thanks @komandoo hiyo concept inatwa uongezaji wa mnyororo wa thamani na hiyo ndio issue kwani inapanua soko zaidi na kukupa uhakika wa kupiga super profit na ina tengeza ajira nyingi zaidi .@recycler idia yako inafanana na yangu ila mimi nimeanzia shambani yaani kwenye uzalishaji na idia yangu tena ika-intercept na @komandoo. hasa kwasababu mitizamo inagongana waonaje twende nalo kwa kina kuliko kila mtu kivyake.,maaana jf ni kutuunganisha au! ,hata kama kuna mwingine ni vema

mkuu hapo kwenye bluu sijakupata freshi,
 
Hiyo mashine inauzwa sh. ngapi na inapatikana wapi,vifungashio na kuweka lebo vinapatikana wapi na kwa bei gani@KOMANDOO

1. Mkuu mashine za kufungashia zinapatika na nafanya kontact na kampuni moja ya kenya waga wanadili nazo

2. Hata vifungashio wanatengeneza na kuhusu kulebo nazani hata Bongo kampuni za kulebo zipo kibao
Siwezi, jua ya bei ya hivyo vifungashio make viko aina tofauti tofauti na kuna hata vinavyo toka nje ya nchi kama south africa, na huko china,
 
mkuu hapo kwenye bluu sijakupata freshi,

aah! ninamaanisha kama jamaa alivyoanzisha idia yake hii hapa then wewe @KOMANDOO ukaja na mbinu za kuiboresha tena zaidi ya hapo na mimi ikanigusa kwani kwani tayari mwaka nimelima kwa mtizamo baadae nije kuboresha zaidi hadi hatua za processing n.k
-sasa hoja ikaja kama tumekutana watu wenye interest ktk eneo hili kwanini tusi-join na kufikiria kujipanga tufanye kitu yenye tija kwetu kwanza na hata kwa jamii . Unajua mnapokutana watu tofauti wenye interest moja inaweza kuwa na impact nzuri.,ndio namaanisha hapo sijui nimesomeka?
 
Iyo concept ya kuad value nimeipenda sana!
Nina shamba langu la miembe badala ya kuuza maembe nataka kuwa nauza packed juices!
 
habari zenu wakuu,mimi nimependa hii kitu,niko katika hatua za mwisho za kufungua duka langu la vitu mbalimbali,lkn nitadili na vyakula zaidi,nadhani tukijadili vizuri tunaweza tengeneza kitu cha maana hapa.
 
Iyo concept ya kuad value nimeipenda sana!
Nina shamba langu la miembe badala ya kuuza maembe nataka kuwa nauza packed juices!

Ya mkuu hii ya kulima na kuvuna na kwenda kuuza haina maana yoyote ile, tunabakia kuwafaidisha wakina Azam juice tu,
Unavyo ongeza thamani katika mazao yako inakuwa umefanya kitu cha maanza sana
MFANO:

1. Unalima mahindi- Kuwa na mashine kabisa ya kukuoboa na kusaga na kupaki, hapa utauza unga na utauza pumba zako

2. unalima alzeti- Kamua mafuta so unauza mafuta na mashudu,

3. Unalima maharage- Kuwa na mashinde ya kupaki so unaya grade na kuyapaki mwenyewe

4. Unafuga ng'ombe wa maziwa- Jitahidi kuwa na hata mtambo mdogo wa kuprocess so unakuwa unauza maziwa na product zake

5. Kuku wa nyama- Jaribu nao kupaki kabisa katika rang tofauti na kuwauzia

KWA KIFUPI TUNAPO ONGEZA THAMANI KWENYE MAZAO YETU HATA BEI NAYO INAONGEZEKA, LAKINI UKIUZA KAMA ILIVYO UNAKUWA HUJAFADIKA KABISA.

Chukulia mfano wa ng'ombe wa nyama.

1. Ng'ombe anaweza to vifuatvyo
- Ngozi'
- Mifupa
- Kwato
- Pembe
- Nyama
- Damu
- makia wake ni pesa
Ila ukiuza ng,ombe mzima unakuwa umevikosa hivi vyote, ila ukiprocess mwenyewe kwa ngombe mmoja unaweza pata hadi milion 2 wakati ukimuuza mzima ni laki 7 hadi 9
 
aah! Ninamaanisha kama jamaa alivyoanzisha idia yake hii hapa then wewe @komandoo ukaja na mbinu za kuiboresha tena zaidi ya hapo na mimi ikanigusa kwani kwani tayari mwaka nimelima kwa mtizamo baadae nije kuboresha zaidi hadi hatua za processing n.k
-sasa hoja ikaja kama tumekutana watu wenye interest ktk eneo hili kwanini tusi-join na kufikiria kujipanga tufanye kitu yenye tija kwetu kwanza na hata kwa jamii . Unajua mnapokutana watu tofauti wenye interest moja inaweza kuwa na impact nzuri.,ndio namaanisha hapo sijui nimesomeka?

ya nime kusoma mkuu, ok usijali
 
Iyo concept ya kuad value nimeipenda sana!
Nina shamba langu la miembe badala ya kuuza maembe nataka kuwa nauza packed juices!

safi sana mkuu jiandae kuongeza thamani kwani hapo na soko utalimudu hakuna cha kufulika soko wala nini.Aisee hv ekari moja inachukua miche mingapi? na kwenye mavuno mti moja unawezo wa kutoa wastani wa matunda mangapi kwa msimu mmoja?
 
Mkuu hiyo Biashara ni nzuri sana,
Ila katika hali na dunia ya sasa ni bora ukafanya biashara ya ku ad value yaani huo mchele wako unatakiwa kuuongezea thamani kabla ya kuuza, make bila kuuongezea thamani itakuwa ni kazi bure mkuu na ili ikulipe utakuwa unafanya usanii wa kuchanganya Mchele wa Mbeya na wa Moshi au mchele wa mbeya na mchele wa kutoka nje ya nchi hapo itakulipa ingawa sio sustainable business,

Unacho takiwa kufanya ni kuwa na vifaa kama
1. Offisi ya kufanyia grading and packaging

2. Mashine ya kufanyia packaging
Pouch_Sealing_Machine.jpg

Hii mashine hutumika kufungia mifuku migumu kama ile mifuko ya Viloba/Pombe na ni nzuri kwa kufanyia packaging ya vitu mbalimbali

3. Vifungashio mbalimbali
789.jpg



PE_NY_plastic_bag_for_rice_packaging.jpg

Hapa unaweza kutengeneza lebo yako kwenye mifuko na ukawa unauza mchele ulio fanyiwa packeging, hapa itakuwa umeongeza thamani kubwa sana katika Mchele wako, Lakini hii ya kutoa mzigo Mbeya na kuuleta Dar na kusubiri huruma ya madalali ni mambo ya kizamani sana lazima tubadilike
Good idea,.. sijui wangapi wameifanyia kazi..
 
Mkuu hiyo Biashara ni nzuri sana,
Ila katika hali na dunia ya sasa ni bora ukafanya biashara ya ku ad value yaani huo mchele wako unatakiwa kuuongezea thamani kabla ya kuuza, make bila kuuongezea thamani itakuwa ni kazi bure mkuu na ili ikulipe utakuwa unafanya usanii wa kuchanganya Mchele wa Mbeya na wa Moshi au mchele wa mbeya na mchele wa kutoka nje ya nchi hapo itakulipa ingawa sio sustainable business,

Unacho takiwa kufanya ni kuwa na vifaa kama
1. Offisi ya kufanyia grading and packaging

2. Mashine ya kufanyia packaging
Pouch_Sealing_Machine.jpg

Hii mashine hutumika kufungia mifuku migumu kama ile mifuko ya Viloba/Pombe na ni nzuri kwa kufanyia packaging ya vitu mbalimbali

3. Vifungashio mbalimbali
789.jpg



PE_NY_plastic_bag_for_rice_packaging.jpg

Hapa unaweza kutengeneza lebo yako kwenye mifuko na ukawa unauza mchele ulio fanyiwa packeging, hapa itakuwa umeongeza thamani kubwa sana katika Mchele wako, Lakini hii ya kutoa mzigo Mbeya na kuuleta Dar na kusubiri huruma ya madalali ni mambo ya kizamani sana lazima tubadilike
Hiyo machine sh ngapi?
 
Hakuna machine ya kuchambua mchele na mawe il uwe super kwajir ya package. Nimependa hiyo idea kwakwel
 
Back
Top Bottom