thanks @komandoo hiyo concept inatwa uongezaji wa mnyororo wa thamani na hiyo ndio issue kwani inapanua soko zaidi na kukupa uhakika wa kupiga super profit na ina tengeza ajira nyingi zaidi .@recycler idia yako inafanana na yangu ila mimi nimeanzia shambani yaani kwenye uzalishaji na idia yangu tena ika-intercept na @komandoo. hasa kwasababu mitizamo inagongana waonaje twende nalo kwa kina kuliko kila mtu kivyake.,maaana jf ni kutuunganisha au! ,hata kama kuna mwingine ni vema
Hiyo mashine inauzwa sh. ngapi na inapatikana wapi,vifungashio na kuweka lebo vinapatikana wapi na kwa bei gani@KOMANDOO
mkuu hapo kwenye bluu sijakupata freshi,
Iyo concept ya kuad value nimeipenda sana!
Nina shamba langu la miembe badala ya kuuza maembe nataka kuwa nauza packed juices!
aah! Ninamaanisha kama jamaa alivyoanzisha idia yake hii hapa then wewe @komandoo ukaja na mbinu za kuiboresha tena zaidi ya hapo na mimi ikanigusa kwani kwani tayari mwaka nimelima kwa mtizamo baadae nije kuboresha zaidi hadi hatua za processing n.k
-sasa hoja ikaja kama tumekutana watu wenye interest ktk eneo hili kwanini tusi-join na kufikiria kujipanga tufanye kitu yenye tija kwetu kwanza na hata kwa jamii . Unajua mnapokutana watu tofauti wenye interest moja inaweza kuwa na impact nzuri.,ndio namaanisha hapo sijui nimesomeka?
habari zenu wakuu,mimi nimependa hii kitu,niko katika hatua za mwisho za kufungua duka langu la vitu mbalimbali,lkn nitadili na vyakula zaidi,nadhani tukijadili vizuri tunaweza tengeneza kitu cha maana hapa.
Iyo concept ya kuad value nimeipenda sana!
Nina shamba langu la miembe badala ya kuuza maembe nataka kuwa nauza packed juices!
Good idea,.. sijui wangapi wameifanyia kazi..Mkuu hiyo Biashara ni nzuri sana,
Ila katika hali na dunia ya sasa ni bora ukafanya biashara ya ku ad value yaani huo mchele wako unatakiwa kuuongezea thamani kabla ya kuuza, make bila kuuongezea thamani itakuwa ni kazi bure mkuu na ili ikulipe utakuwa unafanya usanii wa kuchanganya Mchele wa Mbeya na wa Moshi au mchele wa mbeya na mchele wa kutoka nje ya nchi hapo itakulipa ingawa sio sustainable business,
Unacho takiwa kufanya ni kuwa na vifaa kama
1. Offisi ya kufanyia grading and packaging
2. Mashine ya kufanyia packaging
Hii mashine hutumika kufungia mifuku migumu kama ile mifuko ya Viloba/Pombe na ni nzuri kwa kufanyia packaging ya vitu mbalimbali
3. Vifungashio mbalimbali
Hapa unaweza kutengeneza lebo yako kwenye mifuko na ukawa unauza mchele ulio fanyiwa packeging, hapa itakuwa umeongeza thamani kubwa sana katika Mchele wako, Lakini hii ya kutoa mzigo Mbeya na kuuleta Dar na kusubiri huruma ya madalali ni mambo ya kizamani sana lazima tubadilike
Hiyo machine sh ngapi?Mkuu hiyo Biashara ni nzuri sana,
Ila katika hali na dunia ya sasa ni bora ukafanya biashara ya ku ad value yaani huo mchele wako unatakiwa kuuongezea thamani kabla ya kuuza, make bila kuuongezea thamani itakuwa ni kazi bure mkuu na ili ikulipe utakuwa unafanya usanii wa kuchanganya Mchele wa Mbeya na wa Moshi au mchele wa mbeya na mchele wa kutoka nje ya nchi hapo itakulipa ingawa sio sustainable business,
Unacho takiwa kufanya ni kuwa na vifaa kama
1. Offisi ya kufanyia grading and packaging
2. Mashine ya kufanyia packaging
Hii mashine hutumika kufungia mifuku migumu kama ile mifuko ya Viloba/Pombe na ni nzuri kwa kufanyia packaging ya vitu mbalimbali
3. Vifungashio mbalimbali
Hapa unaweza kutengeneza lebo yako kwenye mifuko na ukawa unauza mchele ulio fanyiwa packeging, hapa itakuwa umeongeza thamani kubwa sana katika Mchele wako, Lakini hii ya kutoa mzigo Mbeya na kuuleta Dar na kusubiri huruma ya madalali ni mambo ya kizamani sana lazima tubadilike
Hiyo machine sh ngapi?