Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 6,212
- 11,498
Habar za jioni ndugu zangu,
Mimi ni kijana nahitaji kujua jinsi ya kuweza kupata eneo maeneo yanayozunguka rufiji.
Natakiwa nianzie wapi?
Je, ni kweli hawa jamaa wanaweza wakakupa eneo, na vitendea kazi vya kilimo?
Kama ni kweli mchakato unaanzaje?
Mimi ni kijana nahitaji kujua jinsi ya kuweza kupata eneo maeneo yanayozunguka rufiji.
Natakiwa nianzie wapi?
Je, ni kweli hawa jamaa wanaweza wakakupa eneo, na vitendea kazi vya kilimo?
Kama ni kweli mchakato unaanzaje?