Biashara ya forever living

Biashara ya forever living

Mbekenga

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2010
Posts
3,258
Reaction score
8,176
Ndugu wanajamii, nimeshawishiwa mara nyingi na rfiki zangu ili niingie kwenye biashara ya forever living lakini kila nikijaribu kufanya uchunguzi sipati picha kati ya namna biashara inavyoendeshwa na mafanikio mazuri ninayoahidiwa.

Wenye uzoefu naomba mchango wenu tafadhali
 
Kwanza kwa kiasi kikubwa hizo dawa/bidhaa hazina manufaa kulinganisha na gharama zake kubwa. Ni bora usijiingize katika utapeli huo.

Pili ukijiingiza, unalazimika kupata wateja wengi na wauzaji wengine wengi ili uweze kupata faida. Ndio maana unashawishiwa sana ili atakayekuingiza afaidi. Ni namna ya pyramid scheme.
 
Unamaanisha nini kwa biashara forever living mwanangu Mbekenga? Hebu fafanua ueleweke ndipo usaidiwe.
Ndugu wanajamii, nimeshawishiwa mara nyingi na rfiki zangu ili niingie kwenye biashara ya forever living lakini kila nikijaribu kufanya uchunguzi sipati picha kati ya namna biashara inavyoendeshwa na mafanikio mazuri ninayoahidiwa.

Wenye uzoefu naomba mchango wenu tafadhali
 
Ndugu Baba wa wote, biashara hii ni ya kuuza dawa za aina mbalimbali. Niliwahi kuona kinywaji, lotion, sina uhakika kama kuna dawa za meno n.k. Bidhaa zinatokea Marekani na mtu anayependa anaingia kwa jina la mzoefu halafu mzoefu anapandishwa cheo....sasa walipoingiza mambo ya vyeo ndo nikachanganyikiwa ila inasemekana walioanza muda mrefu ni matajiri wa kufa mtu. Hapa ndo nilitaka kujua kwamba story hizi ni za kweli au tunachezewa akili?
 
Mkuu Forever Living ni kama Faida Investment walivyotapeli watu 2007
 
Fuata kwanza trainings zao na kabla hujaingia jaribu kujua nini maana ya Network Marketing, nakushauri jaribu pia kusoma kitabu cha The Business of 21century by Robert Kiyosaki waweza kukipata online ukasikiliza. Mind you wote wanaokushauri hapa hawaijui fika foreva wala hawajawah kuingia huko.
 
Ndugu wanajamii, nimeshawishiwa mara nyingi na rfiki zangu ili niingie kwenye biashara ya forever living lakini kila nikijaribu kufanya uchunguzi sipati picha kati ya namna biashara inavyoendeshwa na mafanikio mazuri ninayoahidiwa.

Wenye uzoefu naomba mchango wenu tafadhali

Usisikilize ya watu mkuu....Sidhani kama kapuni ya kimataifa inaweza toka Marekani all the way to Africa Ikasajiliwa hapa Tanzania ije kutapeli wananchi. Hebu tembelea hii website kuna all the useful information you need.
www.cashking.7figuresuccess.com
Kuna video presentations that will explain in detail about the business and you will understand. It will be your choice to decide !!

Barikiwa !!
 
Mkuu hii ni Network Marketing kama ilivyo GNLD, Tianshi na nyingine nyingi... (utafauti unaweza ukawa kidogo kwenye products na pay structure..)

Kuhusu definition ya Network Marketing....

The simplest explanation of network marketing is that it is a method of marketing that utilizes independent representatives to reach potential customers that a company otherwise would not reach with traditional online or offline marketing methods. Source: What Is Network Marketing?

Kwahio utaona kwamba mafanikio yako sio wewe kuudha bidhaa nyingi bali ni kupata (recruit) watu wengi ili wauze hizo bidhaa na wewe kupata commission kutoka kwenye mauzo yao...

Urahisi sio rahisi kama wengi wanavyosema.., wapo wanaopata (ila tatizo kubwa bidhaa hizi ni bei kubwa kulinganisha na wananchi wetu wengi) pia utakuta watu wanajiunga ili kupata pesa na sio kutumia products (kumbuka no product sales means no money and no commission) kwahio ku-recruit watu sio mwisho wa kazi sababu unaweza ukajikuta watu hawafanyi kazi wala hawatumii products

Ushauri kama unajiunga jiunge kutumia products (kutengeneza pesa iwe bonus) sababu tatizo la haya mambo kampuni ikishakuwa saturated watu wengi kujiunga unajikuta hata recruitment inakuwa ngumu..., alafu wajanja mtoni wakishapata downlines wengi na wao wanaanza kutengeneza products zao (mfano education products, CDs, kuitisha seminars za malipo) hivyo wanajikuta kuna income stream kubwa zaidi..

Kwahio in Short..:-
Je ni Utapeli :- Hapana
Je kuna watu wanafanikiwa :- Ndio wapo ila wapo wengi pia ambao hawafanikiwi
Je ni kazi rahisi :- Hapana sio rahisi wala sio ya kila mtu
Je unaweza kufanya / hasara zake :- Unaweza kujikuta unageuza any social event na marafiki zako kuaanza kuwatangazia biashara (usishangae wakianza kukukimbia au kukupa ahadi za uongo)
 
Nashukuru Sun Wu ila nadhani we ni Mchina wa kibongo. Boss nitasoma websites na video nadownload. Hata kama sitafanya ila elimu nimepata wakuu
 
Nashukuru Sun Wu ila nadhani we ni Mchina wa kibongo. Boss nitasoma websites na video nadownload. Hata kama sitafanya ila elimu nimepata wakuu
Kama ni hela ki ukweli zipo. Juhudi zako tu. Check video hiyo.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu hii ni Network Marketing kama ilivyo GNLD, Tianshi na nyingine nyingi... (utafauti unaweza ukawa kidogo kwenye products na pay structure..)

Kuhusu definition ya Network Marketing....

The simplest explanation of network marketing is that it is a method of marketing that utilizes independent representatives to reach potential customers that a company otherwise would not reach with traditional online or offline marketing methods. Source: What Is Network Marketing?

Kwahio utaona kwamba mafanikio yako sio wewe kuudha bidhaa nyingi bali ni kupata (recruit) watu wengi ili wauze hizo bidhaa na wewe kupata commission kutoka kwenye mauzo yao...

Urahisi sio rahisi kama wengi wanavyosema.., wapo wanaopata (ila tatizo kubwa bidhaa hizi ni bei kubwa kulinganisha na wananchi wetu wengi) pia utakuta watu wanajiunga ili kupata pesa na sio kutumia products (kumbuka no product sales means no money and no commission) kwahio ku-recruit watu sio mwisho wa kazi sababu unaweza ukajikuta watu hawafanyi kazi wala hawatumii products

Ushauri kama unajiunga jiunge kutumia products (kutengeneza pesa iwe bonus) sababu tatizo la haya mambo kampuni ikishakuwa saturated watu wengi kujiunga unajikuta hata recruitment inakuwa ngumu..., alafu wajanja mtoni wakishapata downlines wengi na wao wanaanza kutengeneza products zao (mfano education products, CDs, kuitisha seminars za malipo) hivyo wanajikuta kuna income stream kubwa zaidi..

Kwahio in Short..:-
Je ni Utapeli :- Hapana
Je kuna watu wanafanikiwa :- Ndio wapo ila wapo wengi pia ambao hawafanikiwi
Je ni kazi rahisi :- Hapana sio rahisi wala sio ya kila mtu
Je unaweza kufanya / hasara zake :- Unaweza kujikuta unageuza any social event na marafiki zako kuaanza kuwatangazia biashara (usishangae wakianza kukukimbia au kukupa ahadi za uongo)
Mkuu hapo kwenye blue umenichekesha sana.
 
Mkuu hapo kwenye blue umenichekesha sana.

Sure,ni ukweli kabisa.ukisha jiunga huko maisha yako yansfikiria kuuza bidhaa huzo na kupata waumini wengine wa kukufuata.marafiki zako wore utawahubiria habari hizo kila mara,utawashawishi wanunue bidhaa zako kula mara,na mengine.
 
ile biashara haina tofauti na umachinga. lol. sikushauri hata kidogo ujiunge nao.
 
Biashara zote za multi level marketing sooner or later ufika kikomo hapo soko linapo kuwa saturated. Wanachama wanazidi wanunuzi. ndio hapo hatuwasikii sana swissgarde, gnld nk. ukitaka kuingia kwenye hii biashara tathmini una circle ya marafiki wangapi wenye uwezo wa kununua bidhaa kwako. Kama ni wachache ogopa sana hii biashara.
 
nimewahi hudhuria semina za network marketing aina ya forever living.Kwa analysis yangu ni kufanya vitu vya kuwanufaisha watu.Ila nakushauri ufungue biashara yako na kama utawapata watu wa kukuuzia kama mfumo wa forever living, wewe utakua mjanja ila sio kutembeza biashara za watu bila faida mpaka pale nawe utapopata watu wa kuwaingiza kwenye system.USIINGIE BIASHARA HII KAMA HAUPENDI UTUMWA WA FIKRA.
 
nimewahi hudhuria semina za network marketing aina ya forever living.Kwa analysis yangu ni kufanya vitu vya kuwanufaisha watu.Ila nakushauri ufungue biashara yako na kama utawapata watu wa kukuuzia kama mfumo wa forever living, wewe utakua mjanja ila sio kutembeza biashara za watu bila faida mpaka pale nawe utapopata watu wa kuwaingiza kwenye system.USIINGIE BIASHARA HII KAMA HAUPENDI UTUMWA WA FIKRA.

sana sana singo, tena me wananiboa sana hawa jamaa wanavyofosi kumuelimisha mtu juu ya utumwa huu! mbaya zaaidi hataki kukwambia anajambo gani la kukwambia eti hadi akusumbue kukupa apointment, hawa jamaa lazima wajue saivi hii biashar imesha fahamika sana cku hizi sema co watu wote wapotayar kujiunga nayo kwahiyo bora umwambie mtu bila kupoteza muda wake!
 
Wengi wanaoongea humu hawajui Network Marketing ni nini. Hii ni profession, kwa hiyo kabla ya kuinfanya inabidi uistudy sana kwa undani. Google kwenye net soma faida na hasara zake. Wengi wanaoingia kwenye network marketing wanaingia kwa kuhitaji pesa kwa haraka haraka, "get rich scheme"! Ili kufanikiwa kimapato unatakiwa kujenga team ya distributors, na ni kipindi cha miaka 3 - 4 ndo hayo "mamilioni" utaanza kuyaona. Caution: Ukiingia na ukakaa bila kujenga team ambayo ni active, usitegemee kupata pesa nyingi hata kama itapita miaka 3- 5!! Biashara hii inahitaji mtu afunguke kimawazo, "change of mindset".
 
Ndugu wanajamii, nimeshawishiwa mara nyingi na rfiki zangu ili niingie kwenye biashara ya forever living lakini kila nikijaribu kufanya uchunguzi sipati picha kati ya namna biashara inavyoendeshwa na mafanikio mazuri ninayoahidiwa.

Wenye uzoefu naomba mchango wenu tafadhali

Mkuu Mbekenga.

Kwa kuwa lengo la JF ni kuelimishana, kipande kifuatacho hapo chini kinaeleza tofauti ya Pyramid Scheme na Network Marketing, na kwanini biashara hii imekamata kasi kwa sasa.


Pyramid Scheme (illegal scam)

A pyramid scheme can be defined as a fraudulent money-making scheme that is based on a non-sustainable business model that involves the exchange of money primarily for enrolling other people into the scheme without a legitimate product or service being delivered. Eventually the number of new recruits fails to sustain the payment structure and the scheme collapses with most people losing the money they paid in.

In a more practical sense, probably the easiest way to identify pyramid schemes is firstly there is no legitimate product or service involved (ie you do not get a legitimate product in return for your initial investment). The second way to identify pyramid schemes is that you do not get a financial return unless you have successfully introduced a number of new recruits into the pyramid. Basically, pyramid schemes concentrate on the money that you could earn by recruiting new people into the pyramid and generally ignore the marketing and selling of any products or services.

Mfano: DECI, Dollar Jet etc.


Network Marketing (legitimate, legal business model)

The concept behind network marketing is a distribution model that allows a company to sell their products directly to the consumer. Choosing to use a word of mouth approach (networking) instead of advertising through traditional streams (eg media). Therefore instead of paying the media for advertising, network marketing companies are structured to reward distributors through commission in return for selling their products and finding new customers. Therefore the main focus of a network marketing company is product distribution. In fact, in a legitimate network marketing company, distributors are not required to recruit new distributors in order to earn a commission, they can earn money purely by selling the company’s product.

Although distributors can choose to sell the company’s products to earn their commissions, not everybody wants to be a sales person and therefore choose to recruit more distributors into their organisation as a means to build their referral base. Not only does this create a group of loyal customers, it also allows you to leverage the efforts of others to create a residual stream of income.

Mfano: GNLD, Forever Living, Amway, 4Life etc.


Kulingana na maelezo ya hapo juu, Forever Living Products inaangukia katika Network Marketing kwa kuwa kamisheni zao zinapatikana kwa njia zote, moja kwa kuuza bidhaa na pili kwa kuingiza watu wapya katika biashara. Na kwa kuwa lengo la msingi la biashara ni kuuza bidhaa, ili ufanikiwe kupata kamisheni/bonus ni lazima ununue bidhaa hizo kwa kiwango kadhaa kila mwezi kama ilivyoelezwa katika sera za kampuni. Kwa hiyo kimsingi, network marketing ni biashara halali inayotambuliwa na mamlaka husika na serikali. (i.e. Forever Living ipo katika nchi zaidi ya 150 duniani)

Kujiunga na biashara ya mtandao.

Katika biashara yoyote kuna kampuni kubwa na ndogo, kuna wenye uzoefu wa muda mrefu na mfupi, walio na mtaji mkubwa na mdogo as well as matapeli na waaminifu. Cha msingi kabla ya kujiunga na kampuni yoyote ni lazima ujiridhishe kwa kufanya uhakiki (due diligence) ili kujiridhisha kuwa haupo katika biashara ya utapeli au kupoteza pesa zako.

Kwenye biashara ya mtandao, kuna mambo kadhaa ya kuangalia kwenye kampuni yeyote kabla ya kujiunga. Soma kipande hichi hapa chini kwa maelezo ya kina (nitatumia Forever kama case example):-



Be aware of hype and ground floor opportunities
Although some people might claim you earn more money if you get in first, this is never the case and these are companies that normally fold within the first couple of years. It is much safer to join a company with a proven track record.

(Forever Living ipo kwenye biashara tangu mwaka 1978 mpaka sasa).


Does the company have a proven track record?
If the company has been around for a few years then there is a fair chance that governing bodies that police pyramid schemes have already pulled the business model apart and given them the ok. Publicly traded companies are normally your best bet.

(Ukifuatilia bidhaa za Forever Living utagundua zimethibitishwa na bodi mbalimbali duniani za ubora wa bidhaa. Pia kibiashara, business model ya kampuni imepitishwa baada ya kukaguliwa na mamlaka ya serikali mbalimbali i.e. Hungary, Phillipines).


Will the company buy back any unsold product?
Most network marketing companies have a money back guarantee which means that if you are unhappy with the products you can send them back for a refund. Given that the majority of your start up kit was product, if you’re not happy with the business you should be able to send back any leftover product to refund most of your start up costs. Try network marketing and potentially become very wealthy, or if it’s not working for you send your product back for a refund, it’s a win-win! Naturally a pyramid scheme is not going to refund your money.

(Forever Living ina sera ya kununua bidhaa zao kutoka kwa wateja kama hawataridhika nazo).


Is this a get rich quick scheme?
Although there is a lot of potential to earn very good money in network marketing very few have made it quick, most make their millions through consistent effort. So if it sounds to good to be true, it probably is.

(Kwa ushahidi wa hili ni wale waliofanikiwa au kutofanikiwa katika biashara ya Forever Living Products hapa Tanzania, wanapatikana na wanajulikana).


Shop around
If you are looking into the industry for the first time don’t be scared to look at other business models and products, particularly if you don’t know which company to join.

(Fuatilia pia kampuni zingine hapa Tanzania zinafanyaje biashara. Cha msingi hapa ni kuangalia Marketing Plan na Bonus structure across industry. Baadhi ya kampuni zingine za mfumo huu zilizopo Tanzania ni 4Life, GNLD, Dynapharm na Oriflame ).


What training do they provide?
A good company has a solid training system

(Forever Living wameweza kuwa na madarasa mbalimbali ya kufundisha wateja wapya, waliopo na wale wanaopenda kujiunga. Mojawapo ni Millenium Towers (DSM), pia wana madarasa Mwanza, Arusha na Mbeya. Kimsingi elimu itolewayo inafaa si tu kwa biashara ya mtandao hata kwa biashara nyingine yeyote yenye malengo).


Kwa kifupi, biashara ya mtandao ni aina biashara mpya katika karne ya 21 ingawa ilianza zamani. Lakini ndiyo aina ya biashara inayokubalika sana na mabilionea wakubwa duniani kutokana na muundo wake kumuwezesha mtu yeyote (mwenye malengo ya kueleweka) kuanza kwa mtaji mdogo (compared to other businesses) na kuweza kuukuza na kuwa biashara kubwa bila kuingia katika gharama nyingi ambazo zipo associated na traditional business
 
Back
Top Bottom