Za miangaiko ndugu zang
Mm ni kijana Nina miaka 21nasoma APA Mosh na nna kaa APA Arusha
nataka nianze ufugaj wa kuku APA mkoani Arusha nataka kufaamu wap ntapata kununua kuku namaanisha...
Habari? Ndugu zangu mliopo makazini,mijini au wenye fedha kiasi ambao wanapenda kujishughulisha na shughuli mbalimbali ili wajiongezee kipato.
Kuna watu wanafanya kazi hawana muda...
Ninashida na kuuliza Dawa ya wadudu nipo ktk shamba la matikiti nahitaji kubadilisha Dawa baada ya Kuona Dawa nitumiayo haina madhara kwani wadudu wana endelea kula niche yangu
Sasa nimeadhimia...
Habar wadau,
Ninatafuta MTU ambaye ni mwelevu,mwaminifu na mwenye kkujituma ili tulime nae kitunguu hheka nne.shamba zipo nzur sana ambazo zinauhalika WA kutoa gunia si chini ya gunia 80 kwa...
Habari wana jamvi.
Naomba msaada kwenu,nyumbani kwangu kuna sisimizi wengi sana, nimejaribu kupulizia dawa,ila bado wanarudi tu, naomba msaada kwa yeyote anayejua dawa ya kuwaangamiza au suluhisho...
Habari Wanajf?
Kwa yeyote mwenye knowledge ya kilimo cha vitunguu maji tushauriane juu ya namna bora ya kulima zao hili
Ningependa kufahamu mambo yafuatayo:-
Aina ya udongo
Aina ya mbegu
Mbolea...
Habari wadau,
Nimeamua kujiajiri katika kilimo cha mboga mboga, lakini napata changamoto ya maji.
Naomba mwenye uelewa na hizi pumpu za maji za ardhini anipe mwanga wa gharama ya pump na pia ina...
Hallo ndugu naomba kujua ili niweze sajiri lasimi kikundi cha wakulima nifanyeje hatua zake, inachukua muda gani, gharama yake hadi kumaliza ni kiasi gani, vitu vya muhimu inavyobidi niandae...
Mara nyingi sana nimekuwa nikitembelea jukwaa hili. Ninachokuja kukiona ni kuwa thread nyingi ni za kufikirika na hazina uhalisia.
Mimi binafsi nataka nijiingize katika kilimo lakini nashindwa...
Wajasiriamali wezangu, nimenunua Kuku tetea wa kienyeji ambaye amenivutia kumfuga,ila fuko lake la chakula limejaa toka Jana kiasi kwamba anapata shida kugeuza shingo,na ameanza kutochangamka. Je...
Wakuu naombe mnijuze faida za ufugaji huu wa kisasa wa kuku wa mayai kwenye cages! Nimekuwa mfugaji kwa muda kidogo ila tatizo ni kuku kudonoana, nimesikia ufugaji wa cages unamaliza kabisa hilo...
Mkuu, mambo vipi?
Naomba ushauri wako. Kuna eneo naweza kupata Kibondo (Kigoma), nahitaji nipande miti ya mbao.
Nimeambiwa miti hii inastawi Kibondo.
1)Acrocarpus
(2)Casuarina spp
(3)Cedrela...
Habari wana jf,
katika kukimbizana na maisha ninampango wa kulima mbaazi na choroko mkoani mtwara, zinastawi sana. nipo katika mchakato wa kujua soko/wanunuzi wakubwa hapa nchini ili niwe na...
Ni kikundi cha watanzania ambao wamemua kutengeneza mtandao wa masoko kwa bidhaa za kilimo ambao utapunguza kwa kiwango cha juu utapeli wa madalali ambao Leo hii wanachukua asilimia 40 Ya mzigo...
Mimi ni mfugaji mdogo kitu kinacho niumiza ni aina gani ya chakula natakiwa niwapatie vifaranga.
*naitaji kufahamu magonjwa ya Kuku na dawa ambazo natakiwa niwapatie vifaranga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.