Habarini wajasiriamali wenzangu, naomba kujulishwa kama kuna uwezekano wa kupata shamba la kukodi ruvu. Asanteni kwa msaada wenu.
Asante sana rocky huo utakuwa ni mwanzo mzuri, nasubir hizo contact PM. Pia kama una kingine cha kuongezea kuhusu mashamba ya ruvu na uzoefu wako juu ya kilimo cha umwagiliaji pale ruvu waweza kushare kwa ajir ya manufaa ya wengi
hapo ruvu huwa wanalima nn?je umwagiliaji wanatumia nn?kuna scheme ya umwagiliaji uliojengw na serikali au wahisan?
ROKY ni pm pia namba za mwenye mashamba kama ana maeneo makubwa samahani lkn
ROKY ni pm pia namba za mwenye mashamba kama ana maeneo makubwa samahani lkn
Nimeshakutumia contacts za mwenye masahamba ya kukodi huko Ruvu.
mkuu na mimi naomba unitumia i real need it!Okay, nimekutumia.
mkuu na mimi naomba unitumia i real need it!
umetuma wapi? maana hata kwenye PM hakuna!Okay, tayari nimeshakutumia contacts hizo.
umetuma wapi? maana hata kwenye PM hakuna!