Wanjamvi habari zenu...
Kutokana na ukakasi wa maisha nimeamua kujiajiri katika kilimo naomba msaada wa kupata eneo zuri la mazao ya nataka ambayo nimewaza kuwa na ya kusambaza nafaka katika...
Mimi ni kijana miiaka 27 muajiriwa nina uzoefu katika fani za accounting, sales na marketing nipo Dodoma.
Nishafanya biashara zangu binafsi nyingi tu ikiwa kilimo, restaurant na huduma za usafi...
Watafiti wa Mbegu nchini wamebaini kuwepo kwa aina 800 ya mbegu za ngano, huku baadhi ya mbegu hizo zikiwa na uwezo wa kustawi hata kwenye maeneo yenye joto kali hadi nyuzi joto 40, na kufanya zao...
Wapendwa nahitaji kufuga kuku wa kienyeji na ninao kama kuku 10 sasa nahitaji wawe na banda imara na la kisasa sasa sijajua ni vifaa vp vinahitajika ktk banda na ni chakula kipi chenye kufaha
Vyombo vya serikali na mamla husika chukueni hatua
Mimi ni mdau mkubwa kwenye zao la ufuta na nimekuwa nafuatilia sana zao hili kwa muda sasa. kwanza nianze kwa msimu uliopita. Mwaka jana kiasi...
Natoa ushauri kuhusiana na ukulima wa mazao mbalimbali pia usimamizi wa shamba kuanzia kuandaa shamba kupanda mpaka hatua ya uvunaji pia kuchukua rekodi ya ukuaji wa mazao yako lima kwa faida...
Habari wanaJF niliamua kurudi kwenye uti wa mgongo wa mtanzania na sasa navuna na ninauza vitunguu maji vyekundu(fresh red onion). Kama unaitaji niibox kwa maelezo zaidi.
Mimi ni Mtanzania mjasiliamali mchoraji wa nembo (logo). Hapa nakuonesha baadhi ya kazi ambazo nimewafanyia wateja mbalimbali kutoka nje ya nchi katika kipindi kifupi. Hii ni changamoto kwa...
Urbun Food Project ni aina ya mradi ambao unamanufaa kwa wakazi wa mijini.Nivyema tukatumia maeneo madogo tuliyonayo kuzalisha chakula salama na kwa tija pia.Lengo ni kutumia maeneo madogo ya...
HABARI wanajamvi,
Napenda kujua juu ya mazao ya uvuvi nchini mwetu. Tuna maziwa, tuna bahari lakini cha ajabu hatuna fishing industry tunaishia kuwaachia exploiters mali na sisi kubaki tukila...
Ndugu habari za mihangaiko..
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye nia ya kuona kila mmoja wetu anafanikiwa ktk malengo au kusaidiana ktk ajira ndogondogo.
Tafadhali natafuta kijana mwenye ujuzi na...
Habari za sahizi. Natafuta watu wanaoweza kuniletea zao la dengu kwa kiasi chochote kinachopatikana. Pia tunaweza kufwata uliko. Kama kuna mtu unamfahamu tafadhali wasiliana nami tuongee vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.