Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wana-JF naomba msaada, nahitaji sana automatic incubator yenye uwezo wa mayai 96, pia kama kuna muuzaji tutazungumza.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanjamvi habari zenu... Kutokana na ukakasi wa maisha nimeamua kujiajiri katika kilimo naomba msaada wa kupata eneo zuri la mazao ya nataka ambayo nimewaza kuwa na ya kusambaza nafaka katika...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Mimi ni kijana miiaka 27 muajiriwa nina uzoefu katika fani za accounting, sales na marketing nipo Dodoma. Nishafanya biashara zangu binafsi nyingi tu ikiwa kilimo, restaurant na huduma za usafi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watafiti wa Mbegu nchini wamebaini kuwepo kwa aina 800 ya mbegu za ngano, huku baadhi ya mbegu hizo zikiwa na uwezo wa kustawi hata kwenye maeneo yenye joto kali hadi nyuzi joto 40, na kufanya zao...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Redirect
kwa anayependa kumiliki eneo lake kwa kilimo cha mpunga kwa bei isiyozidi laki moja
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Naomba ufafanuzi juu ya ufugaji wa kukua wa kienyeji kisasa zaidi na masoko yake kwenye kuuza kuku pamoja na mayai.
0 Reactions
Replies
Views
Nauza mbegu za mbogamboga za majani jumla na lejaleja, 1.mbegu ya majani ya maboga. 2. mbegu ya figili. 3. mbegu ya mchicha(super lishe) &)(lishe)
1 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Redirect
Msaada wa KILIMO katika bonde la mto ruvu mwenye taarifa nitafute pliz nahitaji eneo, na maelekezo Fulani 0625520125
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wapendwa nahitaji kufuga kuku wa kienyeji na ninao kama kuku 10 sasa nahitaji wawe na banda imara na la kisasa sasa sijajua ni vifaa vp vinahitajika ktk banda na ni chakula kipi chenye kufaha
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nahitaj ushaur wenu.. . Ni shamba la ekari ngap naweza kutoa gunia 100 la mpunga au gunia 90 za mchele??
0 Reactions
Replies
Views
Vyombo vya serikali na mamla husika chukueni hatua Mimi ni mdau mkubwa kwenye zao la ufuta na nimekuwa nafuatilia sana zao hili kwa muda sasa. kwanza nianze kwa msimu uliopita. Mwaka jana kiasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua kuhusu utaratibu wa kuwatumia maafisa Mifugo wa serikali. Je wakija kunitibia Mifugo yangu natakiwa kuwalipabei gani?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natoa ushauri kuhusiana na ukulima wa mazao mbalimbali pia usimamizi wa shamba kuanzia kuandaa shamba kupanda mpaka hatua ya uvunaji pia kuchukua rekodi ya ukuaji wa mazao yako lima kwa faida...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari wanaJF niliamua kurudi kwenye uti wa mgongo wa mtanzania na sasa navuna na ninauza vitunguu maji vyekundu(fresh red onion). Kama unaitaji niibox kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
38 Replies
17K Views
Mimi ni Mtanzania mjasiliamali mchoraji wa nembo (logo). Hapa nakuonesha baadhi ya kazi ambazo nimewafanyia wateja mbalimbali kutoka nje ya nchi katika kipindi kifupi. Hii ni changamoto kwa...
1 Reactions
53 Replies
8K Views
Urbun Food Project ni aina ya mradi ambao unamanufaa kwa wakazi wa mijini.Nivyema tukatumia maeneo madogo tuliyonayo kuzalisha chakula salama na kwa tija pia.Lengo ni kutumia maeneo madogo ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
HABARI wanajamvi, Napenda kujua juu ya mazao ya uvuvi nchini mwetu. Tuna maziwa, tuna bahari lakini cha ajabu hatuna fishing industry tunaishia kuwaachia exploiters mali na sisi kubaki tukila...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Ndugu habari za mihangaiko.. Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye nia ya kuona kila mmoja wetu anafanikiwa ktk malengo au kusaidiana ktk ajira ndogondogo. Tafadhali natafuta kijana mwenye ujuzi na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za sahizi. Natafuta watu wanaoweza kuniletea zao la dengu kwa kiasi chochote kinachopatikana. Pia tunaweza kufwata uliko. Kama kuna mtu unamfahamu tafadhali wasiliana nami tuongee vizuri...
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Back
Top Bottom