Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

SIASA ni KILIMO "Tangu Mwaka 1967 tumekua tukisema kuwa "Kilimo ndicho Uti wa mgongo wa maendeleo yetu". Mwaka 1972 tukatoa mwongozo wa "Siasa ni Kilimo".Mwongozo huo una mambo yote muhimu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajf.naitaji msada wenu kuhusu uwekezaji katika kilimo au ufugaji ni upi unalipa angalau kwa haraka... Kwa mtaji wa 4M. Nipo moshi tafadhali.... Naomba Msaada wa mawazo yenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikuwa kwenye maonyesho ya nanenane hapa Mbeya. Nimejifunza mambo mengi kwenye vitalu vya Jkt nimejifunza kuhusu kilimo cha mboga mbalimbali exotic kama Kandoro, lettuce, turnip na nyingine...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Waungwana habari za leo. Kwa wale wafugaji wa ng'ombe na wajuzi wa maziwa, naomba kujulishwa njia nzuri ya kugandisha maziwa ambayo hayatajitenga na maji. Kwa sasa nagandisha maziwa kwa...
1 Reactions
9 Replies
14K Views
wakuu habari nimefikiria kuhusu products za aloevera kama, dawa za mswaki,mafuta na bidhaa nyingine nyingi, naomba kufahamu aloevera inalimwa wapi, kwa upande wangu cjawahi sikia, aloevera...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Naombeni wadau nuisaidie solo Nina mchicha mwingi
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Je wewe ni mkulima? Pata elimu juu ya mazao yako kwa kujiunga group la watsup ambalo utapata elimu juu ya mazao yako kwa kuuliza maswali na kupata majibu kutoka kwa watalaamu waliobobea kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi wanajamvi.Hii ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa la ujasilimia mali bt nimekuwa mfuatiliaji wa jamii forum kwa mda mrefu.Mimi ni kijana wa kitanzania niliyemaliza chuo kikuu k1 huko moro na...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Wakuu habari zenu!! Nimepata habari kwamba kuna biashara ya mahindi huko Sumbawanga, mahindi yananunuliwa vijijini na wanawauzia wakongo!! Kilichonifanya nilete hii thread ni kutaka kujua hali...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wataalamu wa kilimo na ufugaji. Naomba kufahamu maonesho ya nane nane morogoro huwa yanafanyika katika viwanja hivyo hata kama sherehe hazifanyiki mkoani hapo kitaifa? Naomba kufahamu...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Je naweza lima vitunguu msimu huu na kuvuna bila kuathiriwa na mvua wakari wa uvunaji?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina Shamba la hekari 20 kilosa morogoro nataka kulima mwarobaini Kama mti wa mbao mwenye uelewa karibu tuchangiane mawazo. Nawasilisha
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau naombeni mnifahamishe, nataka kupulizia dawa ya sulphur katika mikorosho yangu. Ni wastani wa kiasi gani cha sulphur kinatumika kwa mkorosho mmoja? kilo?nusu? robo? nk
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Heshima kwenu wadau. nataka nifuge hao kuku wa chotara ila niwanunulie hapa hapa mwanza hizi za kusafirishwa sitaki naogopa kuigizwa town. _asanteni
0 Reactions
12 Replies
5K Views
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
0 Reactions
0 Replies
770 Views
BIG UP for JamiiForums [ Jukwaa la Ujasiriamali & Jukwaa la Ufugaji na Kilimo ] Be blessed Wakuu, tunawasalimu ! Tunapenda kutumia fursa hii kuwakilisha kile tunachoamini ni ‘mpenyo’ kwa wengine...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
MTANZANIA ATAWEZAJE KUPATA MKOPO? Mikopo inatolewa kwa kila mtanzania bila ya kuwepo na ubaguzi wa aina yoyote huduma zetu ni stahiki kwa kila mtanzania ambae ni mjasiriamali,mtumishi wa...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Wanajamvi habari za mda huu!! Mimi kwa ufupi ni mhitimu stashahada ya ualimu 2015 .... Wadau baada yakumaliza chuo nimeingia mtaaani nimefundisha tempo nimefanikiwa kupata kiasi cha 1,500,000...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mambo kwa Mara nyingine. Kumfundisha Kuku tabia inawezekana na ina faida kwa mfugaji. Ntaelezea machache Mimi ninayo yatumia na yanipayo faida Nilianza na Kuku wachache sana ila nilivyo itumia...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu salam Nina project yangu ambayo mali ghafi kuu ni miwa.( sio sukari). Project hii itafanyika Dar ambapo nataka kufungua small scale sugarcane juice ambayo inakua bottled. Hivyo Nahitaji...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom