tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Wakuu habari zenu!!
Nimepata habari kwamba kuna biashara ya mahindi huko Sumbawanga, mahindi yananunuliwa vijijini na wanawauzia wakongo!!
Kilichonifanya nilete hii thread ni kutaka kujua hali ya bei kwa sasa kwa maana ya bei ya kununua na kuuza, pia nataka kujua changamoto zake.
Nimepata habari kwamba kuna biashara ya mahindi huko Sumbawanga, mahindi yananunuliwa vijijini na wanawauzia wakongo!!
Kilichonifanya nilete hii thread ni kutaka kujua hali ya bei kwa sasa kwa maana ya bei ya kununua na kuuza, pia nataka kujua changamoto zake.