Biashara ya unga wa mahindi nje ya nchi

Biashara ya unga wa mahindi nje ya nchi

shumbimadelu

Senior Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
185
Reaction score
64
Hi wanajamvi.Hii ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa la ujasilimia mali bt nimekuwa mfuatiliaji wa jamii forum kwa mda mrefu.Mimi ni kijana wa kitanzania niliyemaliza chuo kikuu k1 huko moro na ninaishi ukanda wa ziwa tanganyika.Leo la kuandika post hii ni kuwaomba ushauri juu ya biashara ya kuuza unga wa mahindi nchini kongo 7bu ni karibu na mkoa ninapoishi.Je nifanyaje ili nifanikishe hii biashara?Mtaji ninao ila cna nijuacho kuhusu hii biashara.Naomba mnishauri wanajamvi nianzie wapi?Naomba mawazo na mwongozo wenu
 
Hi wanajamvi.Hii ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa la ujasilimia mali bt nimekuwa mfuatiliaji wa jamii forum kwa mda mrefu.Mimi ni kijana wa kitanzania niliyemaliza chuo kikuu k1 huko moro na ninaishi ukanda wa ziwa tanganyika.Leo la kuandika post hii ni kuwaomba ushauri juu ya biashara ya kuuza unga wa mahindi nchini kongo 7bu ni karibu na mkoa ninapoishi.Je nifanyaje ili nifanikishe hii biashara?Mtaji ninao ila cna nijuacho kuhusu hii biashara.Naomba mnishauri wanajamvi nianzie wapi?Naomba mawazo na mwongozo wenu

Biashara ya unga kwenda Kongo sasa hivi imepamba moto, jamaa yangu yuko S`wanga anafanya biashara hiyo, anasema hawa jamaa wa Kongo wanakuwa na mchezo mbaya baada ya biashara kukolea, inabidi kuwa makini, biashara yako iende cash bin cash.

Yaani, jamaa hawa wanaweza kununua kwako mzigo mfululizo kwa cash, tena mzigo mkubwa. Kisha wanakopa kidogo wanalipa, wanakopa kikubwa kidogo wanalipa mpaka wakuweke sawa ili siku wakikukopa mzigo mkubwa wa kufa mtu usiwashitukie, hiyo ndo kimoja na wewe ndo ushalizwa.
 
Wakongo mara nyingi ni watu wenye hila nyingi katika biashara,kuwa mwangalifu nao.
 
Hi wanajamvi.Hii ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa la ujasilimia mali bt nimekuwa mfuatiliaji wa jamii forum kwa mda mrefu.Mimi ni kijana wa kitanzania niliyemaliza chuo kikuu k1 huko moro na ninaishi ukanda wa ziwa tanganyika.Leo la kuandika post hii ni kuwaomba ushauri juu ya biashara ya kuuza unga wa mahindi nchini kongo 7bu ni karibu na mkoa ninapoishi.Je nifanyaje ili nifanikishe hii biashara?Mtaji ninao ila cna nijuacho kuhusu hii biashara.Naomba mnishauri wanajamvi nianzie wapi?Naomba mawazo na mwongozo wenu

watafute wenye experience huko mpakani wakupe mpango cos unaweza pata hasara
 
nimeona mkongo mmoja anatengenezesha vinu saba vya kusaga mahindi pale sinza makaburini avipeleke congo kuanza biashara .... hii inaashiria kwamba na wao wanaanza kuamka .... hapa nataka kukutahadharisha kuangalia future ya hii biashara kabla haujaingiza mtaji ... jiridhishe kwanza
 
Hi wanajamvi.Hii ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa la ujasilimia mali bt nimekuwa mfuatiliaji wa jamii forum kwa mda mrefu.Mimi ni kijana wa kitanzania niliyemaliza chuo kikuu k1 huko moro na ninaishi ukanda wa ziwa tanganyika.Leo la kuandika post hii ni kuwaomba ushauri juu ya biashara ya kuuza unga wa mahindi nchini kongo 7bu ni karibu na mkoa ninapoishi.Je nifanyaje ili nifanikishe hii biashara?Mtaji ninao ila cna nijuacho kuhusu hii biashara.Naomba mnishauri wanajamvi nianzie wapi?Naomba mawazo na mwongozo wenu

Mimi nikushauri hivi, kama una mtaji mzuri kama ulivyosema, nenda Rukwa/Katavi jenga ghala/Store kisha karibu na hapo gharani kwako weka mashine ndogo ya kusaga na kukoboa. Sasa wakati wa mavuno unakusanya mahindi ya kutosha, msimu mzuri unaanza kukoboa na kusagisha nafaka zako ili hawa Wakongo wanunue unga wenye brand yako (utauita jf super sembe !!!!) kupitia bandari ya Kasanga au unapeleka mwenyewe kwa watoto wa Satta kupitia bandari ya Kasanga na Mpulungu. Jaribu wazo hili uone kaka.
 
Mimi nikushauri hivi, kama una mtaji mzuri kama ulivyosema, nenda Rukwa/Katavi jenga ghala/Store kisha karibu na hapo gharani kwako weka mashine ndogo ya kusaga na kukoboa. Sasa wakati wa mavuno unakusanya mahindi ya kutosha, msimu mzuri unaanza kukoboa na kusagisha nafaka zako ili hawa Wakongo wanunue unga wenye brand yako (utauita jf super sembe !!!!) kupitia bandari ya Kasanga au unapeleka mwenyewe kwa watoto wa Satta kupitia bandari ya Kasanga na Mpulungu. Jaribu wazo hili uone kaka.

nimependa hiyo brand.
 
Mimi nikushauri hivi, kama una mtaji mzuri kama ulivyosema, nenda Rukwa/Katavi jenga ghala/Store kisha karibu na hapo gharani kwako weka mashine ndogo ya kusaga na kukoboa. Sasa wakati wa mavuno unakusanya mahindi ya kutosha, msimu mzuri unaanza kukoboa na kusagisha nafaka zako ili hawa Wakongo wanunue unga wenye brand yako (utauita jf super sembe !!!!) kupitia bandari ya Kasanga au unapeleka mwenyewe kwa watoto wa Satta kupitia bandari ya Kasanga na Mpulungu. Jaribu wazo hili uone kaka.

Nashukuru kwa ushauri wako nitaufanyia kazi bro
 
nimeona mkongo mmoja anatengenezesha vinu saba vya kusaga mahindi pale sinza makaburini avipeleke congo kuanza biashara .... hii inaashiria kwamba na wao wanaanza kuamka .... hapa nataka kukutahadharisha kuangalia future ya hii biashara kabla haujaingiza mtaji ... jiridhishe kwanza

Nashukuru kwa ushauri wako
 
Kaka biashara ya unga ni nzuli, inalipa na haipitwi na wakati. Soko si lazima liwe Kongo tu, cha kufanya ni kuwa na ghala zako za mahindi na mshine za kusaga unga mzuri hapa nchini, kisha unapeleka unga masokoni tokea hapo. Njaa iko Kenya, Somalia, Ethiopia n.k. itakulipa bila shaka. kaza msuli. Kila la kheri bro!!
 
Kaka biashara ya unga ni nzuli, inalipa na haipitwi na wakati. Soko si lazima liwe Kongo tu, cha kufanya ni kuwa na ghala zako za mahindi na mshine za kusaga unga mzuri hapa nchini, kisha unapeleka unga masokoni tokea hapo. Njaa iko Kenya, Somalia, Ethiopia n.k. itakulipa bila shaka. kaza msuli. Kila la kheri bro!!

Ukionekana na huo unga Mpakani tu una kesi kubwa utafikiri umebeba Cocain
 
Back
Top Bottom