Kilimo cha aloevera(inalimwa wapi)

Kilimo cha aloevera(inalimwa wapi)

fazam

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
1,868
Reaction score
1,291
wakuu habari nimefikiria kuhusu products za aloevera kama, dawa za mswaki,mafuta na bidhaa nyingine nyingi, naomba kufahamu aloevera inalimwa wapi, kwa upande wangu cjawahi sikia, aloevera inalimwa wapi..... wenye viwanda wanapata wapi aloevera,,,,au wanatumia ingredients
 
Hoja mujarab kweli kweli ...
Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa Aloe Vera ..., ni chakula, ni dawa ,ni kirutubisho safi sana kwa binadamu na wanyama ... Kuna kiwanda na Shamba la Aloe kule Kilimanjaro ..., hebu Google utapata details zake ...
Lakini hebu tupate maoni namna tunavyoweza kuisindika (Ku pack) kwa ubora kabla ya kuilima ...
Kwa Tanzania inaweza kulimwa maeneo mengi sana ya nchi yetu, haihitaji maji mengi ktk kuistawisha ...
 
Back
Top Bottom