Msaada wa mawazo ya kuwekeza

Msaada wa mawazo ya kuwekeza

mkubhi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
2,216
Reaction score
3,319
Wanajamvi habari za mda huu!!

Mimi kwa ufupi ni mhitimu stashahada ya ualimu 2015 .... Wadau baada yakumaliza chuo nimeingia mtaaani nimefundisha tempo nimefanikiwa kupata kiasi cha 1,500,000. Naombeni mnisaidie mawazo nifanye nini ili nijiokoe hii ya kutumia mda wangu wote kwa muajili wangu!!!
 
Wanajamvi habari za mda huu!!

Mimi kwa ufupi ni mhitimu stashahada ya ualimu 2015 .... Wadau baada yakumaliza chuo nimeingia mtaaani nimefundisha tempo nimefanikiwa kupata kiasi cha 1,500,000. Naombeni mnisaidie mawazo nifanye nini ili nijiokoe hii ya kutumia mda wangu wote kwa muajili wangu!!!
Fungua Duka genge uswahilini..inalipa sana...jioni fundisha wanafunzi..
 
unaish wapi?
Nipo kigoma ila kama KUNA uwezekanao wa kuhama na kwenda sehem nyingne pakiwa na sababu na tija ya kufanya hivo naweza kuhama!!!
 
Nipo kigoma ila kama KUNA uwezekanao wa kuhama na kwenda sehem nyingne pakiwa na sababu na tija ya kufanya hivo naweza kuhama!!!
Duh sasa kg mbona fursa kibao hata dagaa tu unabeba kwenye begi unaleta dar,kidogokidogo,
 
Duh sasa kg mbona fursa kibao hata dagaa tu unabeba kwenye begi unaleta dar,kidogokidogo,
Kaka umetoa wazo zr sana ila soko lake ndo nashindwa wapi nitazpeleka na nani atanunua!!!
 
Back
Top Bottom