Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nilitarajia kwenye maonyesho hayo ningeona hivi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] badala yake nimeambulia kushuhudia vinginevyo na wenye maonyesho yao ambao ni wakulima na hawa bila...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Wananchi wa halmashauri ya Malinyi wameendelea kujiunga kwenye vikundi vya watu 150 ikiwa ni sehemu ya kuitikia wito wa Mkuu wa wilaya hiyo uliowata kujiunga kwenye vikundi ili waweze kupatiwa...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Wapendwa karibu sana ktk Kilimo bora cha nafaka km ajira pekee isiyo na majungu mengi
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mimi ni kijana mwenye nguvu na nina mke na Mtoto mmoja nafanya kazi katika kampuni moja binafisi ya ulinzi.nimejaribu kukusanya mtaji ili nikafanye kilimo nimeshindwa wandugu kama kuna...
2 Reactions
62 Replies
10K Views
Habari, za leo wadau..
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Halmashauri ya wilaya ya Malinyi, chini ya mkurugenzi wake na mkuu wa wilaya hiyo wamedhamiria kuhakikisha wilaya yao inakuwa kitovu cha kilimo cha mpunga, tayari halmashauri hiyo imeanza...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Miaka ya karibuni huku kusini haswa mikoa ya mtwara na lindi kuna mazao huwa wanayategea kwa kuwa na bei mzuri pindi yanapouzwa. Miongoni mwa mazao hayo ni -ufuta -mbazi -korosho Bei ya mazao hayo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima zenu wakuu. Siku za nyuma nilisikia kuwa kuna maeneo kigamboni wanalima matikiti maji (Watermelon). Kwa yeyote anayefahamu haya maeneo iwe jirani na DSM au iwe kigamboni kwenyewe ambapo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilitaka kujua juu ya ufugaji wa samaki ghalama zake challenge zake kila k2 msaAda tafadhar
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa halmashauri ya Malinyi, Mheshimiwa Ndimbwa (DED) akifanya ukaguzi wa mashamba ya wakulima yaliyopo kijiji cha Itete wilaya humo. Halmashauri imeanza kutoa mbegu bure kwa wanakijiji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako...
1 Reactions
88 Replies
15K Views
GARLICIDAL-Hii aina ya sumu itokanayo na vitunguu saumu+mafuta ya taa. Chukua v/saumu vikubwa 3, visage/vitwange kisha weka ndan ya mafuta ya taa lita 1 na uviache siku 2 kisha uchuje hayo makapi...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa mayai. Na mipango yangu ni kuanza na vifaranga 250.. kwa ambao tayari wana mradi kama huu naomba kujua maelezo zaidi hasa kwenye 1) Bei ya hawa vifaranga 250...
2 Reactions
31 Replies
12K Views
Habari zenu wanajamvi Msaada wa kupata mti wa MMUMUNA hapo ni kwa lugha asili ya kinyamwezi Wajuzi wa miti botanist nataka kujua jina la kitaalamu pamoja na eneo inapopatikana Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Hv kwann wakulima hupangiwa bei wakt wao ndio wazalishaji?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana jf jukwaa la mifugo ni dhahir kuwa nchi yetu ni ya tatu kwa wingi wa mifugo africa ikiichwa na Ethopia na Sudan lakin pato lake ni dogo katika uchumi wa nchi hii inatokana kutokufuga...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanajukwaa nawasalimu. Napenda kufahamu kwa waliokwenda nanenane morogoro kukoje??? Maana nami nataka nijongee huko jumapili nishinde pamoja na jumatatu
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Huwa nasikia nanenane kanda ya mashariki, kati, kaskazini, kanda ya ziwa na kanda ya nyanda za juu kusini lakini zanzibar sijawahi kusikia, ikoje hii?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau. Ni miaka mingi sasa tumekua tukiambiwa na kuaminishwa kua kilimo ndio uti wa mgongo wa Taifa letu, kauli mbiu nyingi sana tumezisikia kuhusu kilimo na hamasa pia kutoka serikalini...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom