Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wandugu nataka kufanya biashara ya mahindi, mwenyewe uzoefu naomba anijuze wap naweza pata kwa wingi na bei mimi nipo morogoro.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapiganaji habari za leo ... Nimekuwa kwenye kujaribu kila ushauri niupatao hapa Jf kwenye ujasiriamali na namshukuru Mungu kwamba kuna vitu nimevifanyia kazi vikaleta matokeo chanya. Sina budi...
9 Reactions
45 Replies
14K Views
Habarini waheshimiwa.!! kutokana na watu kuwa bize sana na kazi zao na kushindwa kufanya kilimo japo wanapenda. mimi nimeamua kuwasaidia watu wa namna hiyo, yaani hivi tunakubaliana unataka...
2 Reactions
38 Replies
6K Views
Habari za mihangaiko wakuu, msaada mwenye uzoefu nataka nianze biashara ya kuchukua mahindi mikoani na kuleta dar kwa ajiri ya kusaga unga na mengine kwa ajiri ya kuuza, sehemu ya kusagia...
1 Reactions
36 Replies
7K Views
Wapendwa naombeni kujuzwa kuhusu wapi nitapata mbegu nzuri ya kuku wa mayai maana nilishauriwa niagizie Uganda lakini inasemekana kwamba Serikali imezuia uingizaji wa vifaranga kutoka nje. Shukrani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf, mimi ni kijana nataka kujikita kwenye suala zima la kilimo,sasa nina shamba langu maeneo ya zombo wilayani kilosa lakini hilo shamba langu lipo mbali na mto.Dhumuni la kuja hapa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hawa kuku ni wakubwa na wanaafya lakini hawatagi. Naombeni msaada wakuu.
0 Reactions
17 Replies
54K Views
Ongezeko kubwa la mahitaji ya matunda na mboga limefanya kilimo cha horticulture kukua kwa kwasi na kuwanufaisha wakulima wengi.... Watalam Wa Kilimo hicho wanawaletea Huduma maalum ya kitaalam...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada wa kujua nani anafanya biashara ya uume wa ng'ombe
0 Reactions
3 Replies
4K Views
naulizia jamani kwamba nawezaje kupata kuku chotara ambao nitawafuga kama wa kienyeji ambao ni chotara unawaachia wajitafutie chakula wenyewe mchana lakini usiku na hata mchana natenga pahala pa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
ANAEJUWA IDADI YA MATIKITI YANAYOWEZA KUZALISHWA KWENYE EKARI MOJA ANIJUZE, NA BEI YA JUMLA INAKUWAJE?
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Wadau, mwenye kufaham wapi inapatikana chanjo ya typhod kwa kuku wa mayai. Nimejatibu kuuliza maduka ya mifugo hawana, ahsanteni
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakubwa Jaman mwenye kufahamu utaratibu wa jinsi ya kupata (tbs) kwenye bidhaa mpya anifahamishe naomba.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu natumai mu wazima. Ninataka kufanya hii biashara ya kununua matunda kama vile matikiti au mananasi wakati wa msimu kwenye mashamba alafu nitafute eneo la kumwaga. Je kuna mwenye ujuzi wa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari JF Family Naomben msaada wa maulizo kwa mkulima wa vitunguu .... 0658210505
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Habar wana jamvi naweza pata wapi mbegu bora za mbaazi zinazoweza kustawi vizur kanda ya ziwa natanguliza shukran
0 Reactions
33 Replies
8K Views
JAMII MEMBERS HELLO, HABARI ZA MCHANA WANA JAMII. NAPIGA HODI JAMVINI. POLENI NA HONGERENI KWA KAZI YA KUFAIDISHA JAMII. NAPENDA KUWATANGAZIA KUWA SISI NI KIKUNDI CHA WAJASIRIAMALI. TUNA UZA...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI. Hapa tutahitaji kuku 11 tu wakubwa wanaotaga yaani majike 10 na Jogoo 1 tu. Kwa kutumia...
26 Reactions
51 Replies
11K Views
Wana JF kuna mtu anafanya au anaijua hii biashara? Je gharama zake za mwanzo ni kama sh ngapi? Challange zake kubwa ni zipi? Je inahitaji uangalizi mkubwa kama biashara nyingine ndogo ndogo ndogo...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Back
Top Bottom