Masoko ya Mchele

Ibra77

Member
Aug 16, 2016
21
4
Habari vijana wenzangu...
Mi ni mkulima wa mpunga maeneo ya SShinyanga mwenye uwezo wa Kusuply zaidi Tan50 za mchele kila wiki ningependa kuuliza mwenye ufaham wa masoko ya nnje ya africa na dunia pia ili nifanye kazi bila kuhangaikia masoko
 
Back
Top Bottom