#Knowyourfruitswellseries
WATERMELONS!!!
Watermelon is a high value crop in Kenya and does well in warm areas with minimal irrigation. The crop requires well drained loamy soils, rich in...
msaada wa haya mambo plz
jee unaweza kuwafungulia kuku wa kisasa nje ukachanganya na kienyeji wakajitaftia chakula?
kuhusu mwanga wa taa jee ni lazima kwa kuku wazima wa kisasa?
vipi kuhusu...
Wakuu unaweza endelea kuwapata kwa kuweka Oda hizo breed na kwa sifa zao zaidi google
1. KUROILER-Hii breed inaweza ishi mazingira magumu kabisa, na Mseveni President of Uganda alipo fanya ziara...
Global forum on agriculture research,GFAR inatoa funding opportunity kwa vijana wote ulimwenguni wenye umri chini ya miaka 39 wanaofanya au wenye mawazo mazuri juu ya kilimo, uvuvi na ufugaji...
Habari wana JF wote.
Natumai mu wazima wa afya. Poleni na majukumu ya kila siku katika kutafuta riziki ili maisha yaendelee.
Mimi nina shamba kidogo lenye ukubwa wa ekari 3. Eneo lina maji...
Habari zenu ndugu wajasiriamali, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Mimi nina eneo lenye maji kiasi kidogo na nataka kulitumia kwa kilimo cha umwagiliaji.Wapi nitapata...
asalam alykum sisi nivijana ambao tulio jitolea kiakili na kimwili pia kuweza kujikwamua na maisha lakini as kama group wote ni wanafunzi malengo yetu nikujishughulisha kuyaanda future zetu hivyo...
Wanajamii nawasalimieni. Ninauhitaji mku wa sana wa kujua jinsi ya kufungasha maziwa (packaging). Nipo eneo zuri linalozalisha maziwa lakini soko ni baya. Nikifungasha nadhani nifanya biashara na...
Chief Olusegun Obasanjo is not only a retired army officer, former head of state and politician, he is also a successful farmer. He owns Ota Farm, which is also called Obasanjo Farms. The large...
Kuna mbegu za nyanya nimepata kuziskia zikitajwa kwenye kipindi cha television. Mbegu hizi ni Tengeru
Mshumaa
Je kuna utofauti gani kati ya mbegu izo mbili?
Habari. Egg incubators za size mbalimbali zimekuwa zikitumiwa na wafugaji nchini kutotolea vifaranga kwa ajili ya ufugaji binafsi. Ila ni watu wachache tu ndio wamekuwa wakitumia incubator hizi...
Habari zenu wakuu.
Naombeni msaada wenu kwa mwenye ufahamu, gharama halisi za uchimbaji wa kisima kwa ajili ya umwagiliaji, yaani kilimo cha umwagiliaji.
Habari wadau,
Naomba ushauri. Nlijaribu kulima nyanya zilikua vizuri tu lakini zilipofika stage ya maua na kuanza kuzaa zikapata ugojwa wa Mnyauko. Nlipata ushauri wa dawa mbalimbali lakini...
Wanahitajika vijana wawili wenye ujuzi wa uvuvi wanaotaka kuwa wajasiriamali katika sekta ya uvuvi. Tuungane katika shuguli ya uvuvi wa dagaa katika ziwa victoria = ujuzi wao ndiyo hisa zao katika...
Habari Wakuu.
Mimi ni muajiriwa Katika serikali, laikini nataka nijikite kweye Kilimo Cha Mpunga huko Turiani mkoani Morogoro, na Kwakuanzia nataka nilime Hekari mbili,. Kiukweli nataka...
wana jamvi naombeni msaada wa haraka kwa anae jua vizur magonjwa ya KUKU kwa dall nitazo weka ushauri na tiba za kisasa au kienyeji
dalili
1:hana guvu miguu yote na vidore vina jifunga hawez...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.