CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Wakuu naomba msaada kujua wapi naweza kuanzisha project ya kilimo cha MABOGA na VITUNGUU kati ya Morogoro na PWANI?
Nafikilia pale Ruvu panaweza faa ingawa sina hakika sana.
Mkuu:malila nakutegemea juu ya hili pls.
Na jee yanakubali vizuri pamoja na vitunguu?wacomoro wamenipa deal ya kuwalimia maboga na VITUNGUU!
Naomba kuwakilisha.
Nafikilia pale Ruvu panaweza faa ingawa sina hakika sana.
Mkuu:malila nakutegemea juu ya hili pls.
Na jee yanakubali vizuri pamoja na vitunguu?wacomoro wamenipa deal ya kuwalimia maboga na VITUNGUU!
Naomba kuwakilisha.