Kwa upande wangu cjaelewa ata kimoja ulicho andikaHabarin za mchana wana jukwaa, samahan natafu soko la Mbaazi kwa ambaye anafahamu kwa dar es salaam linapatikana wapi nikiwa na mzigo tafadhali naomba anijuze. Nipende kuwatakia mchana mwema na kazi njema.
Nicheck kwenye 0677010000 tufanyeje biasharaNahitaji kuuza mbaazi kama nikipeleka dar es salaam soko linapatikanaje? Hicho ndicho ninachokihitaj kufahamu mkuu