Natafuta soko la Mbaazi

enery

JF-Expert Member
Aug 21, 2015
368
437
Habarini za mchana wana jukwaa,

Samahani natafuta soko la Mbaazi kwa ambaye anafahamu kwa Dar es Salaam linapatikana wapi nikiwa na mzigo tafadhali naomba anijuze.

Nipende kuwatakia mchana mwema na kazi njema.
 
Habarin za mchana wana jukwaa, samahan natafu soko la Mbaazi kwa ambaye anafahamu kwa dar es salaam linapatikana wapi nikiwa na mzigo tafadhali naomba anijuze. Nipende kuwatakia mchana mwema na kazi njema.
Kwa upande wangu cjaelewa ata kimoja ulicho andika
 
Back
Top Bottom