Watu wa Mifugo pale Airport Dar

Watu wa Mifugo pale Airport Dar

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,950
Reaction score
9,509
Habari wakuu?
Naomba kwa mwenye contact za watu wanao dili na mifugo pale uwanja wa ndege wa Nyerere anaipatie nina shida nao sana, nataka mwongozo fulani wa mambo ya mifugo.
 
Huyo anataka contact za wale jamaa wa uwanja wa ndege nazani kuna mzigo wa mifugo anataka ku import
 
Umepata? Nilikuwa nazo lakini notebook niliyohifadhi kama nimepoteza. Miezi kama 2 imepita nilikuwa nadili nao kuna mzigo wa mayai ya kutotoa nilikuwa nayapokea hapo.
 
Back
Top Bottom