MC Chere
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 586
- 400
Kama title ilivyo wapendwa,sina nijuacho sana kuhusu abc ya biashara hii,ni moja tu ndilo ninalolifahamu kuwa kwa hapa nilipo chakula hicho kitauzika sana maana kuna wafugaji wengi wa nguruwe na wanatafuta sana chakula cha kulisha nguruwe,na bei yake wananunua kati ya 2000-2500 kwa debe 1 ya pumba.
Hitaji langu ni wapi nitapata sehemu ambayo pumba inapatikana kwa wingi na inauzwaje ili niboreshe hili wazo?
Una kipi zaidi cha kunishauri juu ya hili wazo?
NITASHUKURU KWA MICHANGO YENU.
Place:Kilolo-Iringa
Hitaji langu ni wapi nitapata sehemu ambayo pumba inapatikana kwa wingi na inauzwaje ili niboreshe hili wazo?
Una kipi zaidi cha kunishauri juu ya hili wazo?
NITASHUKURU KWA MICHANGO YENU.
Place:Kilolo-Iringa