Msaada: Nataka kuanza kulima, ni maeneo gani naweza kununua mashamba kwa bei nafuu?

Nov 18, 2013
29
15
Wandugu habari za kwenu. Naishi Moshi nahitaj kujitupa shamban mazima. Naombeni msaada kwa wanaoifaham vizur Tanzania. Ni eneo gani naweza pata mashamba ya kununua kwa bei nafuu kama Hector 10 kwa ajili ya kilimo cha nyanya na vitunguu? Eneo lenye rutuba ya kutosha, mvua za msimu za kutosha, na maji ya karibu kwa ajili ya umwagiliaji.

Nilitaman sana Moro Lakin naona ni kama Moro kila mtu amepakodolea sana macho so naomba ushaur wa sehem yoyote isiyo na shida ya usafiri wa kwenda sokoni popote lilipo. Ahsanten.
 
Mkuu Jaribu kuulizia mkoa wa Pwan maeneo ya Ruvu, Bagamoyo, Kisarawe
 
mikoa yenye rotuba ni mbeya....rukwa na katavi na bado maeneo yapo
 
Moses weka namba yako ya simu wenye maelezo au maeneo wakupigie muongee.Najua zitakuja hoja za weka mambo hadharani,siyo kila kitu huwekwa hadharani.
 
Shamba lipo kisarawe kijiji cha mwanzo mgumu lina ukubwa wa hekari tano kila hekari ni millioni 2 na nusu,maelewano yapo hata ukitaka hekari moja unauziwa 0714621548
 
Wandugu habari za kwenu. Naishi Moshi nahitaj kujitupa shamban mazima. Naombeni msaada kwa wanaoifaham vizur Tanzania. Ni eneo gani naweza pata mashamba ya kununua kwa bei nafuu kama Hector 10 kwa ajili ya kilimo cha nyanya na vitunguu? Eneo lenye rutuba ya kutosha, mvua za msimu za kutosha, na maji ya karibu kwa ajili ya umwagiliaji.

Nilitaman sana Moro Lakin naona ni kama Moro kila mtu amepakodolea sana macho so naomba ushaur wa sehem yoyote isiyo na shida ya usafiri wa kwenda sokoni popote lilipo. Ahsanten.
+255 754 686 286, wasiliana nasi,
 
Back
Top Bottom