Habari wadau wa ujasiliamali. Mimi nina eneo hapa dsm ( Bunju ) lilikuwa shamba, sasa mzee kalipa katika30*30, shida yangu natafuta mtu ambaye atakayeingia mkataba kati yetu na sisi ajenge nyumba...
Hii ni picha ya Parents (majogoo) kuchi na Giliraja nitafute +255785738738 kuna customer wanahitaji picha, zinakuja na kama wataka kuona karibu kwa farm. Mbezi Manyema off Salasala way.
Wakuu habari za leo,bila shaka wazima na mnaendelea namihangaiko yenu ya kila leo. Naomba msaada wa kujua ni zao gani nilime kipindi hiki huko ili na mimi nijitose mzima mzima kwa mara ya...
Habari wandugu zangu naomba kujua namna ya kuanza ufugaji wa kuju wa mayai........aina gani ya kuku ni bora zaidi? ........kwa kuku 500 ninahitaji banda la ukubwa gani? Chakula kiasi gani...
Habari wanajamvi?
Leo nimepata maswali mengi baada ya kuona kanda ya ziwa mazao yanakauka kwa ukame mkubwa ulioikumba nchi. Hivi Kuna maana gani kujenga viwanda kwa kilimo cha kutegemea mvua...
Habar wanajamvi mimi ni mjasiliamali mdogo nataka Kuanzisha mradi wa kufuga kuku wa kienyeji aina ya kuroiler. Tayari nimeshajenga banda tayari ila pesa yote imeishia kwenye ujenzi wa banda...
Wadau poleni na shughuli za kutwa nzima ya leo,
Ni hivi kuku wangu tetea yapata wiki ya pili sasa linafunga jicho moja mda wote labda ashtuke ndo atafungua na kisha kulifunga tena, nashindwa...
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
Kwa kweli nimehuzunishwa na kuona tukio Kama hili.maswali mengi nimejiuliza 1.mtu ana ngombe 250 .1 mwenye ngombe huyu alijaribu kuuza hawa ngombe na hakupata soko? 2.mfugaji huyu hakuona Kama...
Habari zenu wana JF
Nimejaribu kufuatulia kwa ukaribu ufugaji wa bata mzinga na nikafanikiwa kupata maelekezo namna ya kuwafuga na kuandaa mazingira ya kuwafuguia yaani ujenzi bora wa mabanda,kwa...
Habari njema kwa Wakulima na Wafugaji, tunatoa ushauri mbalimbali kupitia vitabu kuhusu Kilimo cha Biashara cha mazao zaidi ya 40 na Ufugaji wa kisasa wa Kuku, Nguruwe, Mbuzi, Ng`ombe n.k...
Kama kuna watu waliojilipua kwenye zao hili naomba kupata mrejesho maana nasikia watu wanafungasha virago upande wa nachingwea kuna wadudu wanaitwa vibaruti hawasikii dawa wanatafuna majani ile...
Wana jf tujuzane maeneo ya kilimo na ufugaji ili watu wasibughudhiane kwenye shughuli zao je, kila mmoja ana eneo maalum kwa ajili ya kazi zake? Karibuni kwa ajili ya kuchangia hoja na kutangaza...
Ndugu wana Jf,
Wataalamu wa aridhi na udongo naomba mnisaidie ni jinsi gani naweza kutambua aridhi hii ina madini au haina
Au pia ni chuo gani ambacho wanafundisha mitaala ya uchunguzi wa madini...
Napenda kishauri serikali hasa Wizara ya Kilimo kuwa fedha inayotumia kwa ruzuku ya pembejeo ingetumika kufufua mashamba ya uzalishaji mbegu hapa nchini kama Tanseed zamani na kiwanda cha mbolea...
IFAHAMU VSLa(VillageSaving and Loan Association)/VICOBA
- Watu wengi wamekuwawakisikia hili neon na kuna wanao fahamu, VSLa ni Vikundi vya Hisa ambavyo kwajina jingine wanaita VICOBA, hivi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.