Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wadau wa ujasiliamali. Mimi nina eneo hapa dsm ( Bunju ) lilikuwa shamba, sasa mzee kalipa katika30*30, shida yangu natafuta mtu ambaye atakayeingia mkataba kati yetu na sisi ajenge nyumba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii ni picha ya Parents (majogoo) kuchi na Giliraja nitafute +255785738738 kuna customer wanahitaji picha, zinakuja na kama wataka kuona karibu kwa farm. Mbezi Manyema off Salasala way.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu habari za leo,bila shaka wazima na mnaendelea namihangaiko yenu ya kila leo. Naomba msaada wa kujua ni zao gani nilime kipindi hiki huko ili na mimi nijitose mzima mzima kwa mara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wandugu zangu naomba kujua namna ya kuanza ufugaji wa kuju wa mayai........aina gani ya kuku ni bora zaidi? ........kwa kuku 500 ninahitaji banda la ukubwa gani? Chakula kiasi gani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeona huu utafiti hapa je una ukweli wowote .Wataalamu wa mifugo tusaidieni SOURCE:The Uganda journal
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wanajamvi? Leo nimepata maswali mengi baada ya kuona kanda ya ziwa mazao yanakauka kwa ukame mkubwa ulioikumba nchi. Hivi Kuna maana gani kujenga viwanda kwa kilimo cha kutegemea mvua...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habar wanajamvi mimi ni mjasiliamali mdogo nataka Kuanzisha mradi wa kufuga kuku wa kienyeji aina ya kuroiler. Tayari nimeshajenga banda tayari ila pesa yote imeishia kwenye ujenzi wa banda...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Wadau poleni na shughuli za kutwa nzima ya leo, Ni hivi kuku wangu tetea yapata wiki ya pili sasa linafunga jicho moja mda wote labda ashtuke ndo atafungua na kisha kulifunga tena, nashindwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu naomba msaada wenu maana hizi nei za vyakula vya kuku wa mayai imekuwa mtihani na soko la mayai laporomoka siku hadi siku nifanyeje
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hello friends, hivi mnafaham kuwa mbwa ni mlinzi mwaminifu wa kweli na unapotumia mbwa mwenye mafunzo unakuwa umeongeza uhakika wa usalama wako Mara dufu kuliko kutumia Masai au binadam yeyote...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa kweli nimehuzunishwa na kuona tukio Kama hili.maswali mengi nimejiuliza 1.mtu ana ngombe 250 .1 mwenye ngombe huyu alijaribu kuuza hawa ngombe na hakupata soko? 2.mfugaji huyu hakuona Kama...
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Habari zenu wana JF Nimejaribu kufuatulia kwa ukaribu ufugaji wa bata mzinga na nikafanikiwa kupata maelekezo namna ya kuwafuga na kuandaa mazingira ya kuwafuguia yaani ujenzi bora wa mabanda,kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari njema kwa Wakulima na Wafugaji, tunatoa ushauri mbalimbali kupitia vitabu kuhusu Kilimo cha Biashara cha mazao zaidi ya 40 na Ufugaji wa kisasa wa Kuku, Nguruwe, Mbuzi, Ng`ombe n.k...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama kuna watu waliojilipua kwenye zao hili naomba kupata mrejesho maana nasikia watu wanafungasha virago upande wa nachingwea kuna wadudu wanaitwa vibaruti hawasikii dawa wanatafuna majani ile...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf tujuzane maeneo ya kilimo na ufugaji ili watu wasibughudhiane kwenye shughuli zao je, kila mmoja ana eneo maalum kwa ajili ya kazi zake? Karibuni kwa ajili ya kuchangia hoja na kutangaza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wana Jf, Wataalamu wa aridhi na udongo naomba mnisaidie ni jinsi gani naweza kutambua aridhi hii ina madini au haina Au pia ni chuo gani ambacho wanafundisha mitaala ya uchunguzi wa madini...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Napenda kishauri serikali hasa Wizara ya Kilimo kuwa fedha inayotumia kwa ruzuku ya pembejeo ingetumika kufufua mashamba ya uzalishaji mbegu hapa nchini kama Tanseed zamani na kiwanda cha mbolea...
5 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu, Kuna anayefahamu wapi nitapata mbegu bora za karanga zinazofaa kwa maeneo ya Pwani? Tafadhali naomba msaada huo! shukran!
1 Reactions
3 Replies
3K Views
IFAHAMU VSLa(VillageSaving and Loan Association)/VICOBA - Watu wengi wamekuwawakisikia hili neon na kuna wanao fahamu, VSLa ni Vikundi vya Hisa ambavyo kwajina jingine wanaita VICOBA, hivi ni...
11 Reactions
33 Replies
27K Views
Back
Top Bottom