Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Wengi wanashindwa kuanza kilimo cha umwagiliaji kwa kukosa mtaji wa kuchimba kisima na kununua pampu, ukiitumia akili yako vizuri hili si tatizo kabisa. Akili ni mali, angalia jinsi ya kuanza kilimo cha umwagiliaji kwa gharama nafuu
huu ni ubunifu wa watu wa misungwi (mwanza)
huu ni ubunifu wa watu wa misungwi (mwanza)
Last edited by a moderator: