Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ndugu wanajamvi naomba msaada kwa anaefahamu Simu yangu haiconect mtandao kwenye pc japo inaonesha imeunganisha lkn ukifungua browser haifungui tovuti inasema there is no internet connection
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini wadau, ninatumia idm (internet download manager) siku za hivi karibuni imekuwa hailet ile pop up ya kudownload nikiplay video youtube kama mwanzo, websites zingine inafanya kaz kama...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Wadau, mwenye system ya SARIS, Tuwasiliane ani PM tufanye biashara.
0 Reactions
0 Replies
522 Views
Kuna jamaa aliingia kwenye FB na kuni-ADD alitumia ID nyingine nami nilim-ADD kumbe alikuwa jamaa ambaye namfahamu sasa nataka nim-Brock je nifanyeje??????maana ananisumbua sana.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji kufungua Blog na websites nahitaj mwongizo je nianze vipi
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika mtandao wa kijamii wa facebook, kuna makundi (Groups) mengi ambayo mtumiaji wa mtandao huu anajikuta ameunganishwa hata pasipo kujijua. Na hii inakuwa kero maana unakua umeunganishwa...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Habari wanaJF, hapo nimekosea wap kwenye picha hapo chini
0 Reactions
1 Replies
699 Views
Habari za jioni wadau....kuna sim mpya imenunuliwa Hong Kong imekuja mpya kabisa lakini haina Google services, aplication zone zilizobaki zinakubali apart from application za Google services...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sitaki kuelezea kwa undani zaidi maana ntajikuta namwaga machozi yangu bureeeee!!! Ila Tecno kwa kheri, niliwapenda ila mmejiharibia wenyewe. "zamani niliwatetea ila mlichonifanyia sitakaa...
1 Reactions
56 Replies
5K Views
Hello I need someone who can make apps tufanye project. Great if ur in tanga good if u are in dar. PM please
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habarini wandugu, naomba msaada wa software inayoweza ku unlock huawei E8231s-1 wingle modem.
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Wakuu habari ninataka kununua mojawapo ya simu hizo ushauri ipi ni nzuri zaidi based on speed durability memory na charge??
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nahitaji huduma ya seo optimizer kwa ajiri ya blog..kwa mwenye utaalmu anipm tufanye kazi
1 Reactions
6 Replies
846 Views
Wanajamvi naomba msaada au ushauri, Hivi inawezekana au kuna apps zinazoweza kupokea au kuzipata sms na calls zinazoingia katika simu nyingine bila mwenye hiyo simu nyingine kujua kuwa kuna mtu...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wapendwa, kama kuna mtu yupo hapa mwanza ana hiyo receiver au anajua zinapotikana aniambie nnaihitaji sana kwa bei isiyozidi 70000
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Angalia inavyoonekana kwa sasa katika screenshot hapa chini Nzwezaje kulitatua tatizo hili?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wadau naombeni msaada mnijuze juu ya bei halisi ya phantom 6 iliyozinduliwa hivi karibuni kwa shilingi za kitanzania.... nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu Nilitoka kidogo kwa muda kama wa miezi sita hvi sasa leo nimerejea hapo Nyumbani kusabahi ndugu jamaa na rafki na kujumuika nao holiday hii wakati naondoka halotel ilikuwa ni H+ plus muda...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Kifaa hiki kimefanikiwa kupokelewa na mtandao wa JAMECO,Ambapo kifaa hiki kitatengenezwa kwa packaging nzuri na kuuzwa kote duniani Kifaa hiki kwa mara ya kwanza kilichapishwa HAPA Baadae...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu habar zenu. Nilinunua iphone 6 yapata miez mitatu sasa, jana tarehe 27 nov imepata ajali kioo kimepasuka. Nomba kuuliza kama naweza fanyia repairing na itacost sh ngap kwa kioo au kama...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom