Naombeni msaada wana JF

Naombeni msaada wana JF

fitna

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2014
Posts
432
Reaction score
237
Kwanza habari zenu wana JF Nahitaji msaada wenu, niliroot tecno J5 ikakaa poa ila nikahitaji kui Unroot na nilipo jaribu kui unroot imekua ikiwaka inaishia tu pale linapokuja neno tecno mpaka inaisha chaji haiendelei zaidi ya hapo, NAOMBENI MSAADA WENU
 
Back
Top Bottom