Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naombeni msaada wa namna ya kudeactivate Facebook na instagram ili nibaki jamiiforum tu
0 Reactions
0 Replies
413 Views
Nahitaji msaada wenu (sina ujuzi wowote wa mambo ya CAMERA). Nahitaji kukununua kamera kwa ajili ya kazi ningependa kupewa aina ya kamera ambayo ni nzuri katika picha za mnato na ikibidi hata...
2 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari zenu wadau. Nilikuwa nauliza je inawezekana kuhack wifi(wireless fidelity) ambayo ipo umbali wa 500M. Maana hapa ninapoishi nipo karibu na hotel ambayo inahiyo huduma sasa nataka niwe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa hali ilivyo sasa Kuna kila sababu ya kutafuta mbinu za kuwa anonymous ili kuwa salama. Najua inaweza kuwa ghali lakin zipo taarifa ambazo mwenyenazo anaweza kukubali kutumia gharama yeyote ili...
1 Reactions
70 Replies
7K Views
Nobel PrizeWinners (2016): Hakuna mweusi! Bob Dylan Literature Duncan Haldane Physics J. Michael Kosterlitz Physics David J. Thouless Physics Juan Manuel Santos Peace Prize Fraser Stoddart...
2 Reactions
11 Replies
892 Views
Nina computer yangu Aina ya Dell, sasa cha kushangaza nikiwasha Utakuta monitor inatoa tu mwanga wa njano halafu haiwash screen na kwa wakat huo CPU inanguruma sana, naomben msaada wenu sijajua...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi naomba msaada ya kuunganisha cm na pc kwa kutumia Bluetooth ili niweze kucheza audio wirelessly pc yangu ni hp 250 g5 na phone ni samsung galaxy j7.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
#freemaxencemelo Habari JF.... Hivi kuna app au any other way ya kujua kua simu imetumika mda gani??? E.g mwaka au miezi flani. Kwa mfano mtu anakwambia hii simu nimetumia wiki mbili tu,si...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Habari za leo wana jamvi, jamani nina tatizo naombeni msaada wenu. Nina external storage ya WD, ambayo haisomi tena nikiconnect kwenye computer, kuna data zangu zimo humo ndani, nisaidieni kama...
0 Reactions
14 Replies
976 Views
Nimejaribu kudownload apps mbali mbali lakini zote zimeshndwa,nataka lile file la GALLERY nililock kwakuwa kuna watu ukiwaazima simu hupenda kwenda kutazama mapicha na video sasa mie sitaki
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Jaman naombeni msaada jinsi ya kuiondoa mistari iliyojitokeza ktk screen ya pc baada ya kukandamizwa kwa bahati mbaya. Kama kuna mtaalam anaejua jinsi ya kutatua hili tatizo msaada pliz
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Sina uhakika kama hili ni jukwaa lake. Hii antena iliyo kushoto hapo kwenye taa kazi yake ni nini?
0 Reactions
34 Replies
4K Views
kichwa cha hbr kinajieleza
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu naomba kufahamu simu yangu memory card ni 8gb na imebakiza space gb 6.49 na internal storage ni 16gb na imebaki space 9.80gb kwenye ram ni 1gb Ila space inakuwa 350mb-270mb na apps zote...
0 Reactions
1 Replies
749 Views
Mwenye link anisaidie
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Natumia simu ya tecno mwanzo nilikuwa natengeneza wifi-hotspot na connect na pc ila karibuni haifanyi kazi japo inaconnect na bar zinasoma vizuri sijui shida itakuwa ni nini wadau kwa sasa natumia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu Laptop yangu aina ya Dell Latitude D420 haiwaki, nikiiwasha inaishia kuwasha ivi vitaa vya caps lock, Bluetooth na vinaonesha mwanga kwa sekunde kadhaa alafu vinazima na ndo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
1. Hacking can be called the art of breaking into system for good purposes or bad purposes 2.hacking may range from breaking phones,pc,servers,electronic devices,credit cards and many more...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada wa kuunlock huawei modem model:E3372h-510 Imei:866658020469621 ilikuwa hilink nimejaribu iflash imekuja kwenye dashboard ila bado inanitaka niweke unlock code
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom