Habari wanajamvi
Niliacha laptop yangu nyumbani sasa mtoto amechezea sasa screen imegeuka chini juu! yaani inavyodisplay picha zake zote ndio iko hivyo.Namimi bado sio mzoefu sana
Ata sielewi...
Waungwana nadhani muko wazima
Naombeni munisaidie nataka kuandika Business Plan ila itakua ni non Profit lengo langu ni kutoa elimu juuu ya H.I.V and AIDS na Kuelimisha vijana wadogo kushuhulikia...
Habari Zenu
Kama kichwa cha habari kilivyo nimejitahidi ila nimechemka
Kinachonishangaza ni Kwamba Line Zinge Zina Support 3g
Lakini TIGO hai support 3g ina andika E.
Kampuni ya Nokia kutoka nchini Finland imesema kuwa inaishtaki kampuni ya Apple kwa kukiuka haki 32 za kiteknolojia.
Kesi hiyo ya Nokia imewasilishwa katika mahakama tatu nchini Ujerumani na...
Natumia tecno W4, nkijaribu kukonnect na pc kwa usb haisomi, au hata nikitaka kuconnect na deki ya dvd haisomi, inanipa options tatu zote hola.
Msaada wakuu nifanyeje? simu ni android 6 marshmallow.
Wanajamii!!
Ninaomba kwa anayejua anisaidie, ninataka kununua laptop nzuri na mpya kabisa. Bahati mbaya mimi si mtaalamu kabisa wa kompyuta (laptop) ingawa ninajua kutumia kifaa hicho.
Ninaomba...
Ndugu wanajf sina uzoefu na nilichokitaja hapo juu,, mdogo wangu kaniomba nimuwezeshe kumgaramia kupata ujuz huo, yeye yupo kjjn hajui hicho chuo atakapo kipata hivyo natakiwa nitafute chuo na...
Wakuu wa humu naomba kuuliza
Kwamba juzi nilidownload application inaitwa booster katika pc yangukatika kuifungua ikaonesha kuwa AMD processor is out to date need for update je kuna uwezekano...
Wadau natafuta app gani ya android ambayo nikipiga picha kwa simu inasave automatically na hata ikitokea nimefuta picha zote basi inaweza kunifanya nikazipata tena
SAMSUNG GALAXY S6 EDGE SM G925F
haisomi line inaandika emergency only baseband haisomi, imei haipo/null kama kuna mtaalaam anaweza anisaidie nipo arusha mjini maeneo ya stand kubwa
Habari wanajamii ninaomba kufahamu kuhusu hii app inasaidia nini ktk simu kwasababu ninaona inakula space kwa mb70 ukiupdate ninatumia tecno w4,app yenyewe ni android system webview
salaam wakuu. nahitaji msaada nini nifanye ili pc yangu iweze kutunza moto. modeli ya pc husika ni lenovo thinkpad L412
Leo ni siku ya nne najaribu kuichaji inagoma. iniandikia ujumbe huu, "pluged...
Nilikuwa nahitaji kuweka application kwa playstore ila kuweka Inahitajika $25. Ila tatizo payment method lazima utumie PayPal nami PayPal account sina. Kama kuna ajuaye kutumia payment method...
wakuu habari zenu
Ni jinsi gani naweza trace/track namba ya mtu na kutambua sehem mtu/mmiliki wa namba husika alipo/alipo kuwepo (kama atakua hayupo hewani) , either kwa kutumia app au njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.