Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

FBI baada ya kuhangaika wee mwishoe walifanikiwa kufungua iphone 5c ya seyyed farook, sasa apple leo hii wame-update ios kuziba mianya. hivyo FBI wakitaka kufungua tena itabidi watumie janja nyingine.
2 Reactions
82 Replies
12K Views
Ninatumia window 8.1 lakini PC yangu inashindwa kusoma media transfer nikichomeka USB ilhali vitu vyote vingine ina respond kama vile kucharge,camera lakini nikibonyeza sehemu ya media transfer...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari want jf, natumaini Nyote mpo poa, naomba msaada wa kuweza kupakua kila program nikitaka kupakua nitumie search engine ipi nikihitaji program kwa kutumia PC
0 Reactions
3 Replies
787 Views
Naomben msaada wen viongoz Nina box LA miracle ila sifaham nine watu wanovyo kunect na visim vidogo vya batan naomben mnisaidie viongoz juu ya hili tatizo lang
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu kuna mtu anae jua taasisi yeyote yenye super computer tofauti na DIT anifahamishe......
0 Reactions
4 Replies
4K Views
DESKTOP COMPUTER YENYE kuanzia CORE i3 au i5 inahitajika, isiwe na tatizo lolote,kama unauza nicheck inbox tufanye biashara.
0 Reactions
4 Replies
694 Views
Habari wakuu? Naomba link za kuweza kupakua app ya screenshoot kwenye simu yangu ya nokia e5(symbian). Kuna kipindi cha nyuma niliweka simu ikakorofisha ikaflashia kwahiyo na ile app...
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Naombeni msaada wa jinsi ya kubadili IP address ya PC yangu.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari? Kwa wale wapenzi wa gadgets... Nawaletea used Nintendo 3ds XL Tsh 250,000 0787 408180... Posta Mpya, karibuni sana..
0 Reactions
0 Replies
625 Views
nataka kuweka kioo cheupe kwenye iphone nyeusi
0 Reactions
3 Replies
961 Views
Wakuu PC yangu amechezea mtoto Sasa kila nikiweka password inagoma ila hajabadilisha password, bado password ni ileile ya mwanzo ila nikiweka inajibu hivi The Group Client service failed the...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau nina simu tajwa hapo juu ambayo ni Sony experia c6903, kila nikiweka sim card haisomi wala internet network naombeni msaada. Nimeifanyia factory reset lakini bado.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumbani creative ni kampuni yenye team iliyojitosheleza katika kupokea mawazo yako ya mfumo taarifa (data system) wa kazi zako na kuziweka katika mfumo wa programu za kompyuta (software)...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
WAKUU, nahitaji muongozo wa kujifunza mambo ya Networking nijue tu basics ,Kwa wale wabobezi je nianze na kipi mimi ni mgeni kabisa japo Nina ufahamu kiasi Fulani wa computer
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wadu mwenye game fifa 2016 or 2017 kw jili ya pes 3 nahitaji
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Msaada jaman hivi kuna program ya kuflash cm kwa kutumia pc? Na vele vile kuna app naweza naweza Download ili niflash Sim yangu?
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Habar zenu wana Jf Naomba msaada kuwa: vipi naweza kuanzisha upya(reset) akaunti yngu ya facebook? Ahsanteni.
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Nahitaji ku-unlock modem ya huawei e3372h-153. Anayejua anisaidie
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba muanze kulinda website yenu. Nimewaonesha milango kadhaa ambayo mtu anaweza itumia kuingia , inatumia teknolojia ya zamani sana hiyo version ya joomla ni ya muda sana fanyeni ku upgrade...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom