wakuu habari zenu
Ni jinsi gani naweza trace/track namba ya mtu na kutambua sehem mtu/mmiliki wa namba husika alipo/alipo kuwepo (kama atakua hayupo hewani) , either kwa kutumia app au njia...
Jana niliingiza flash yangu kwenye PC, ikaniletea ujumbe wakuitaka niifotmat badala ya kufunguka, na mimi sikutaka kufanya hivyo kwani kwenye flash kuna docs na files za muhimu za ofisini. Hivyo...
Wakuu naomba ushauri nina 570000 nataka kununua laptop kwa matumiz ya kawaida yaan kuangalia movie, series, gaming, ku download na shughuli ndogondogo kama kuchapa baadhi ya doc. kuhifadhi data...
Nimeviangalia havina tofauti yoyote na tigo ndo vile vile tu zikitofautiana ni mb chache na wameiga kale ka katabia ka tigo kusema kifurushi ni unlimited kumbe wanamaanisha unlimited speed. Kwa...
Kila jambo huwa na madhara kwa mara ya kwanza na nadhani hata aliyegundua umeme alipata sekeseke la kupgwa shot au pengine aliuawa kwa umeme.
Habar zenu wana JF, nimeifanyia rooting Vodafone...
Wajuzi wa mambo salaam.
Mimi ni mpigapicha mkongwe (nilikuwa nikitumia Camera kubwa aina ya Pentax - ya mikanda) ila ni mgeni katika kutumia DSLR. Nimenunua Nikon D5100 na naomba kujua setting...
Habari zenu wakuu, nimepata changamoto kwenye laptop yangu,naamini kupitia uzi huu nitapata msaada..Tatizo liko namna hii
wakati nauninstal kaspersky ikanileta maneno yakimaanisha ili niweze...
Nina j5 ina siku mbili ni ya 2015 3g ina glass protector na kava la kuvutia vyote vipyaaaa nataka nibadilishane na mwenye j7 ya 4g ya 2015 mpyaaa....
njoo PM tuyajengeeeee naitamani sana hio...
Habarini wana jamvi.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, ninaomba mniazime utaalamu wa namna ya ku apply emoj (zile za whatsapp)kwenye posts za hapa jf, 'cause mimi niki apply from my phone's...
Habari zenu wana jukwaa naomba kwa mwenye ufahamu wa hili anisaidie, simu yangu nimeirestart ili nianze upya baada ya kumaliza ikanidai niweke google account. Nimejarb kuweka niliyokuwa naitumia...
Habar wana teknohama, naomba mwenye ujuzi au ufahamu kuhusu app ambayo naweza kuinstall kwenye simu nikatumia kama modem kwenye computer ukiachana na mambo ya tethering na hot-spot ya simu, asante.
Wadau,
Nimefungua blog hivi punde, sasa kumekuwa na kitu hiki cha ku-host blog domain ili kuwa katika mfumo wa world wide web, sasa bado sijajua nini faida zake na gharama zake.
Nawasilisha
Wakuu, nataka ni upgrade hiii simu iende kwenye better version.
Hizi ni sifa zake hapa chini, je inawezekana , njia gani rahisi bila kuleta madhara kwa device
Nashindwa kuziona videos ktk app ya JamiiForums.nikiiplay inakaa muda kidogo kisha yaniletea ujumbe huu
Naomba msaada kwa wanaojua,mwanzo ilikuwa vizuri sasa sielewei ninini kilichokorofisha!
Best apps for rooted mobile , this is something
which We Dreamy Tricks is going to share
with you Today. So, We are sharing the
collection of best android apps, which is
most downloaded last year...
Wakuu simu imedondoka na kioo kimepasuka, inawaka kama kawaida lakini siwezi screen yake haipo active hivyo siwezi kufanya chochote iwe ni kupiga simu, kupokea, kusoma WhatsApp etc.
Mwenye nacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.