Wataalamu wa mambo ya "CAMERA"

Wataalamu wa mambo ya "CAMERA"

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
55,039
Nahitaji msaada wenu (sina ujuzi wowote wa mambo ya CAMERA).

Nahitaji kukununua kamera kwa ajili ya kazi ningependa kupewa aina ya kamera ambayo ni nzuri katika picha za mnato na ikibidi hata video.

Naombeni pia sifa za kamera hizo ambazo kwa sasa ni nzuri kwa ajili ya kazi ya upigaji picha katika matukio mbalimbali (send off,birthdays,harusi n.k) nitafurahi kwa ufafanuzi wenu.

NB; naomba mambo yote yawe hapa sio inbox.
 
Kuongeza mbali na kupata camera bora pia tafuta mkufunzi akufunze kupiga picha bora kutumia hizo camera,haitaleta maana kua na camera nzuri halafu unapiga picha kwa automatic mode pekee ,vyema uijue manual ili kutoa picha safi kwa kila eneo ,hongera sana wazo zuri sana
 
tafuta camera hizi
-Cannon EOS Rebel T5i
10176113.jpg


-panasonic G7
panasonic_dmc_g7kk_lumix_dmc_g7_mirrorless_micro_1431949849000_1148282.jpg


-Nikon d5300
nikon_dslr_d5300_afp_18_55_front--original.png


hio panasonic g7 advantage yake inachukua video hadi 4k incase unahitaji chukua hio, hio canon T5i ni nzuri kwa wanaoanza kama hujui hata kupachika lens chukua hio.

zote ni nzuri na za kisasa ambazo hutumika hata huko duniani.

bei nimecheki zote ni chini ya dola 700, change inayobaki kanunue mic nzuri utaihitaji kwenye video recording na pia unaweza kuhitaji lens
 
Back
Top Bottom