MZALENDO NO.1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 302
- 134
Habari za leo wana jamvi, jamani nina tatizo naombeni msaada wenu. Nina external storage ya WD, ambayo haisomi tena nikiconnect kwenye computer, kuna data zangu zimo humo ndani, nisaidieni kama naweza kuitengeneza ikatumika tena au kama haiwezi kutengenezeka, data zangu kuna namna yoyote ya kuzipata. (RETRIEVAL OF DATA) Asanteni kwa kusoma na kunishauri cha kufanya inadvance