Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
kichwa cha hbr kinajieleza
Hiyo si kawaida mkuu nyavu standard hazipaswi kuruhusu wadudu kupita. Hata hivyo waelekeze watumiaji namna ya kufunga na kufungua vizuri kwani wengi wao huacha gaps. Weka mazingira yako vizuri kwa kuangamiza wadudu ktk eneo unaloishi.Wakuu hivi karibu nimeweka hayo madirisha kibandani kwangu lakini cha ajabu wakati nimefunga madirisha hasa sehemu ya wavu) wadudu mbalimbali wakiwemo mende, mbuu nk wanaweza kutoka nje na kupenya na kuingia ndani. Je hii ni kawaida kwa madirisha haya au nimepigwa na fundi? na je nifanyeje?