Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nimejaribu kuweka chip ya Voda 4g kwenye Aple Ipad 2 na imekataa kusoma tatizo ni nini? Wataalam naomba msaada wenu tafadhali. Nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Wakuu nimekwama hapa, sim card yangu imesajiliwa kutumia Huduma ya sim banking na kila mara naitumia kucheki balance, kuhamisha fedha na hata kununua Salio la muda wa hewani, sasa Leo kila...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Habari wakuu naomba msaada kama nilivofafanua hapo juu.nashindwa kuscreenshot kama ilivyo kwa samsung zingine, mfano ile ya sensor na ile ya kubonyeza power switch na ile ya volume. sijui nakosea...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nauliza je hzi window defender za window eight na ten naweza kuzitegemea katika ulinzi wa pc yangu? Matumizi yangu ni mtandaoni kidogo sio sana maana hata nikiingia ni saa moja na webs mara...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Soma Tangazo letu hapo tunapatikana morogoro watu wote walioko town wanaweza kuwa karibu nasi tuko mazimbu campus/sokoine university Natengeneza na kuweka software. Mbalimbali kwenye computer...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni software gani naweza ku install kwenye simu ya mtu mwingine na nikaweza kudukua/hack mawasiliani yake na watu wengine?
1 Reactions
27 Replies
6K Views
Habari! Nahtaji unlock codes za hii kitu, itumie line zote. Sas ivi inatumia line ya vodaom tu.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
ndugu waungwana mimi naitaji kioo cha flat screen lcd (LG) 32 inches changu kimepasuka kwa hiyo mwenye nacho au kwa anayejua wapi nitakopokipata
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Habari wanaJF, nipo kwenye maandalizi kama video inavyojieleza. Nia na madhumuni ni kufundisha wed development na namna ya kutengeneza wordpress blog yeneye muonekano mzuri.
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Ni hivi, natumia simu aina ya Samsung J1 ace ambayo nilipewa na mtu tu, ila katika historia ya hii simu iliwahi kuangushwa jambo ambalo limefanya mpaka leo simu inafanya self commands, inajitouch...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba msaada wakuu kwa anyejua jins gan naweza kuconnect TV yangu ya LED ya LG jins gan naweza kuiconnect na home theater aina ya sony.. kama nikiweka flash kwenye tv bila kutumia HDMI... port...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba kusaidiwa, simu yangu ina tatizo la kurun ussd code kama kutoingia kwenye menu ya mpesa ama tigo pesa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari developers am trying to connect the access database in visual studio am getting this error microsoft.ace.oledb.12.0 is not registered on the local machine any help on how to troubleshoot it...
0 Reactions
1 Replies
633 Views
Nafasi ya kazi kwa developers/ coders/ programmers E.A (Rwanda) #cheers
0 Reactions
0 Replies
625 Views
Kama maada ilivyo hapo juu nina simu yangu Huawei ascend g7, niko nayo kwa mda wa miaka mitatu ilikua ikisoma usb cable mara tu nichomekapo kwa kifaa kingine ajabu imeacha kusoma yapata mwezi sasa...
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Wakuu habari zenu, Naomba kwa mwenye kujua application zinazoonyesha channel za Tanzania live kwenye smartphones anisaidie. Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Msaada Laptop yangu inagoma kuingiza charge (Connected but not charging) ni aina ya Acer.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salam wanabodi wa jukwaa la Teknolojia. Kuna jamaa yangu mmoja ameniambia kuwa kipindi cha nyuma alikuwa na smartphone tajwa hapo juu na ilikuwa na baadhi ya haya mambo:- 1. Mtu anapompigia...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari waungwana!!! Naomba msaada wa kujua ni software gani nzuri kwaajili ya kuchoma dvd na ibaki ktk ubora uleule? Nimetumia Ashampoo na Nero lakn bado cjaridhika na ubora wa dvd,japo video...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Clash Of Clan... Tunaocheza hii game naomba tukutane Hapa Jamani tupeane Maujanja... Maana nimekuwa nikicheza for couple Of Month lakini nakutana na changamoto kibao... Tusaidiane...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…