Wakuu tatizo ni nini, kila nikituma ujumbe wa kawaida kwa njia ya simu , meseji haziwafikii kwa wakati, vivyohivyo nao wakinitumia zinachelewa kunifikia!
Wakuu bila shaka hamjambo, nimekuwa na tatizo kwenye printer yangu wakati wa kupiga copy na ku-print wino umekuwa ukionekana kumwagika sana upande mmoja kama inavyoonyesha, kama kuna wataalamu...
Heshima yenu wakubwa,
Naombeni kufahamishwa mbinu za kuanzisha mbinu za e-commerce kama Amazon, Alibaba na kibongo bongo kama Kupatana.
Nipeni msaada wa je kuanzisha na kuendesha kwake huwaje na...
Naomba msaada wa program itakayoniwezesha kutumia simu yang kama moderm. Nakumbka kuna wakati msela wang alinpa nimeisahau ilikuwa na uwezo wa kutumia simu yoyete ile kukonect na internet. Naomba...
Wakuu naomba mwenye Idea jinsi inavyo fanya kazi, Nilikuwa na Idea ya Kutengeneza sms zenye kutoa elimu hasa ya Ujasirimali ila hizo sms zitakuwa zinakatwa hela kidogo my be Tsh 100 ay Tsh 200...
wadau polen na majukumu,samahani naomba kwa mwenye kufahamu rooting mode ya MAXON X3,plz tusaidiane.yani simu ina apps ambazo ni unnecessary zinamaliza internal memory
wakuu,habari zenu,naomba msaada nimeinstall uktvnow app 8.1 nilipofungua channels zikawa zinafunguka lakini baada muda zikagoma kabisa kufunguka sasa sijui tatizo liko wapi.
habari wanajukwaa nina blog mbili moja ya kiswahili na nyingine ni ya kiingereza , sasa hii ya kingereza imekubaliwa na adsense sasa nilikuwa naomba msaada nahitaji kuweka matangazo haya ya...
Yani nikataka kutengenezewa app nikampa maelezo mtaalamu Wa kwanza kaniambia 20,000usd, mwingine 15,000usd, mwingine 1000usd, hapa nimestack, minataka simple app tu jamaa zinanipa bei balaa, ila...
Jamani, nimejiunga na Appnext ila unapokea malipo yao kwa njia ya wire transfer, sasa kuna vitu vifuatavyo nimetakiwa kuvijaza lakini sijaweza kuvifahamu kwa hiyo naombeni ufafanuzi wenu wadau...
having problems with rooting ur android??,,it is very easy jus PM me and i will give u directives so that u can enjoy ur android phone
Download #root checker basic from playstore, then download...
Wakuu kuna simu yangu imegoma kuwaka baada ya kufanya rooting,ikiwaka aifanyi chochote. niliiroot kwakutumia kingroot,baada ya kuroot nikadownload ifont na kuinstall baada ya kuinstall nakajaribu...
Kila nikinunua note 4 tena mpya inaanza na hitilaf na huo upya wake. Ya kwanza mfumo wa mic ulkuwa mbovu fund mikoan ikawashinda kupata charge system. Sasa nimenunua tena note 4 mpya inawaka...
Simu yangu ni tecno w5 nikipiga picha, picha zake zinakuwa na ukubwa wa kati ya mb 4 hadi mb 6. Sasa ni sawa au kuna tatizo kwani naona huo ukubwa wa picha ni mwingi kwa uelewa wangu, naomba...
Nauliza... je kuna 'Polish-Spray' specifically for LED/LCD Tv?
Au ile polish spray for laptop inafaa pia kusafishia Tv? nataka kusafisha TV na theatre. Vinachakazwa na vumbi jamani. Vyumba vya...
TCRA TRAFFIC MONITORING SYSTEM AND THE RISE OF SURVEILLANCE IN TANZANIA
It's been years now since TCRA set up the TTMS(Traffic MONITORING SYSTEM) which allows them to regulate and monitor...
Habari wana jamvi,samahani jamani kwa yetote yule anaejua matumiz ya io application walau kwa kifupi naomba ajaribu kunielekeza angalau nielewe hata kdg namna ya kuitumia
Ahsanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.