Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 61,440
- 74,054
Salam wanabodi wa jukwaa la Teknolojia.
Kuna jamaa yangu mmoja ameniambia kuwa kipindi cha nyuma alikuwa na smartphone tajwa hapo juu na ilikuwa na baadhi ya haya mambo:-
1. Mtu anapompigia simu huwa inamwambia sehemu aliyopo(Kijiji,Mji na Mnara wa simu anaotumia)
2. Hata nae akimpigia mtu inaandika kwenye screen kuwa mtu huyo yupo mfano Morogoro na mnara wa simu ulipo kama Msamvu.
Baada ya kuniambia hivyo nilimuuliza ni aina gani ya simu akanambia Huawei ugumu ulipokuja nilitaka anitajia ipi kati ya hizo huawei lakini ikawa ngumu.
Sasa lengo la kuleta thread ni ikiwa kuna mtu ambaye amewahi tumia simu ya namna hiyo ni Huawei ngapi? Yaani mfano Nokia Lumia 520 n.k
Kuna jamaa yangu mmoja ameniambia kuwa kipindi cha nyuma alikuwa na smartphone tajwa hapo juu na ilikuwa na baadhi ya haya mambo:-
1. Mtu anapompigia simu huwa inamwambia sehemu aliyopo(Kijiji,Mji na Mnara wa simu anaotumia)
2. Hata nae akimpigia mtu inaandika kwenye screen kuwa mtu huyo yupo mfano Morogoro na mnara wa simu ulipo kama Msamvu.
Baada ya kuniambia hivyo nilimuuliza ni aina gani ya simu akanambia Huawei ugumu ulipokuja nilitaka anitajia ipi kati ya hizo huawei lakini ikawa ngumu.
Sasa lengo la kuleta thread ni ikiwa kuna mtu ambaye amewahi tumia simu ya namna hiyo ni Huawei ngapi? Yaani mfano Nokia Lumia 520 n.k