Ni software gani naweza ku install kwenye simu ya mtu mwingine na nikaweza kudukua/hack mawasiliani yake na watu wengine?
Unataka kufanya kama yule edzen the rocker? una kifua?
Ni software gani naweza ku install kwenye simu ya mtu mwingine na nikaweza kudukua/hack mawasiliani yake na watu wengine?
Mimi sikushauri chochote juu ya hilo, zaidi ya kusema hicho unachotaka kukifanya sio kitu kizuri, unajitafutia matatizo tu. Kama ni mwanamke tambua mwanamke hafuatiliwi hata siku moja.
Huyu mtu hata ID yake nushidaaaah .. Hayo mambo awaachie wenye taaluma hiyo(wapelekezi) , tumechoka kusikia fulani kajiua mara kajipiga risasi.
Mpenzi halindwi ivo mkuu
Ni software gani naweza ku install kwenye simu ya mtu mwingine na nikaweza kudukua/hack mawasiliani yake na watu wengine?
Ni software gani naweza ku install kwenye simu ya mtu mwingine na nikaweza kudukua/hack mawasiliani yake na watu wengine?
Kuna mdau hapa JF aliwai kusema "utaruhusu je,ile kazi yako special ufanyiwe na wengine?"
Je,huo ni uanaume kukubali kumegewa?
Muulize ezden aliekuwa mume dida Alitumia hyo.soft weaaa kunasa ushahidi.tosha