Habari zenu wanajukwaa...Kwa dar wapi naweza kuoata pc yenye hizi specs kwa bei rahisi na ubora mzuri.
Core i7
2.7 ghz
ram 4gb
video memory 2gb
model yoyote
Habari za mchana,
Poleni na majukumu. Nataka nisikie kutoka wa mtumiaji wa TECNO W5 Lite kama ina uwezo wa 4G. Ninatumia Vodacom na mkoa niliopo bado Vodacom 4G haijafika.
Asante.
Wakuu habari zenu?sorry natatizo ktk application iyo(instagram) tangu jana najaribu kulog in haitak kabisaa na anuani ni ile ile hata neno siri pia ni lile,imegoma jana hadi leo hii,upande wa...
naomba kuuliza kifaa hiki kiitwacho 3d video magnifier je ninaweza kuchomeka simu kwenye hiki kifaa na nikafungua documents mfano za pdf na zikaonekana kwenye hichi kidude. au kinafanya kazi...
Naombeni msaada kwanini computer yangu nikiingiza code(html,css) za picha video na audio inakataa naombeni msaada labda kuna sehemu natakiwa kurekebisha
Wadau mambo vipi,
Juzi usiku maeneo ya Tazara nliibiwa simu yangu ni iPhone 6,kwa bahati mbaya icloud haikuwa active.
Details nyingine kama imei nnazo, najua uwezekano wa kuitrack Upo na JF kuwa...
Hellow JF Members!
Naomba kufahamu kama ni kweli betri za kampuni ya Samsung zina Tracking device na zinaweza kutuma Private Data zako na kwenye Savers zao?
Kama si kweli hizo kama wires...
Habari zenu wakuu?
Nimeazimia kwamba, nataka kununua Satellite Dish (nadhani natumia jina sahihi) yaani pamoja na receiver ili niweze kupata FTA channels. Hii ni kwa mategemeo kwamba nitaweza...
salam wadau
vigezo vipi vinatakiwa viwepo kwenye website yako ili kuinclude ads kama googleads, infolinks na nyingine? and which one is best?
msaada wataalam
Habari?
Kwa wale wataalamu wa magari unapoweka mashine ya kupima gari na kupata matokeo haya tatizo linakuwa ni nini na linatatuliwa vipi?
Si mnajua mambo ya mafundi akitoka hapo anapiga mpunga...
Natumia sony bravia smart tv na dish la azam. Kila nikiweka simu yangu on kwenye wifi inaletea sony bravia wifi inaonekana iko na nguvu sana. Naomba msaada wa kujua password maana inahitajika...
Tafadhali naombeni msaada tutani Laptop Toshiba satellite Radius L10w-C2019 haifanyi Booting kwa kupitia Flash.
msaada wa Haraka unahitajika kila niki bonyeza F 12, nimejaribu pia F2, ESC zote...