Msaada: Huawei Y300 inastuck

NZURI PESA

JF-Expert Member
Mar 25, 2011
5,959
2,938
habari wa ndugu.HUAWEI Y300
Inawaka lakini haifungui prpgram yoyote inastuck ikishawaka kaalama ka ua je nifanyaje kabla sijaenda kwa fundi
 
Jaribu kufanya hard reset uchek kama itapona... Japo njia hi itapoteza Data zako zote kwenye simu. Ikikataa hiyo ni yakuweka Firmware upya ila sasa kwa ninavyo jua hizo Huawei huwa zinaharibika kitu kinaitwa EMMC chip ambapo hii ni sehem files za Operating system ya simu zinakaa kwahyo kiki haribika kinafanya simu ishindwe kuwaka na kuendela kawaida zaidi huishia kuandika neno Huawei na logo yake tuu.
 
habari wa ndugu.HUAWEI Y300
Inawaka lakini haifungui prpgram yoyote inastuck ikishawaka kaalama ka ua je nifanyaje kabla sijaenda kwa fundi
Bonyeza volume up na volume down na power vyote kwa pamoja yakija maandishi EMMC READ ONLY haifai huwezi ku update firmware
 
Jaribu kufanya hard reset uchek kama itapona... Japo njia hi itapoteza Data zako zote kwenye simu. Ikikataa hiyo ni yakuweka Firmware upya ila sasa kwa ninavyo jua hizo Huawei huwa zinaharibika kitu kinaitwa EMMC chip ambapo hii ni sehem files za Operating system ya simu zinakaa kwahyo kiki haribika kinafanya simu ishindwe kuwaka na kuendela kawaida zaidi huishia kuandika neno Huawei na logo yake tuu.
AHSANTE MKUU
 
Jaribu kufanya hard reset uchek kama itapona... Japo njia hi itapoteza Data zako zote kwenye simu. Ikikataa hiyo ni yakuweka Firmware upya ila sasa kwa ninavyo jua hizo Huawei huwa zinaharibika kitu kinaitwa EMMC chip ambapo hii ni sehem files za Operating system ya simu zinakaa kwahyo kiki haribika kinafanya simu ishindwe kuwaka na kuendela kawaida zaidi huishia kuandika neno Huawei na logo yake tuu.
Mkuu ikiwa inawaka na kuishia kwene logo inaweza kutengenezeka? Kuna fund alinambiaga haiwez pona tena.
 
Back
Top Bottom