cobra poison
Member
- Sep 14, 2016
- 32
- 12

Soldering station ni bei gani na wapi zinapatikana
![]()
Soldering station ni bei gani na wapi zinapatikana
Sawa kaka nahitaji ila pa kuipata ni kariakoo ila sehem ndo cjui me nipo dar
Nichek 0718 290779 nikakuoneshe duka![]()
Soldering station ni bei gani na wapi zinapatikana
Sio AC ni IC. . inakuwa na solder gun ya kawaida isipokuwa ina adjustable temperature. Pia ina hot Air gun ambayo inatumika kuchoma vitu vyenye pin ndogo, kukausha unyevu, kuyeyusha wax au gundi, ku shape plastic insulator etchii ndo inayotumika kunyofolea vifaa vya kwenye circuit ya simu kama ac ???
mkuu nimezima fegi(saluti) wewe itakua ni nyoko kwenye hizi ishuSio AC ni IC. . inakuwa na solder gun ya kawaida isipokuwa ina adjustable temperature. Pia ina hot Air gun ambayo inatumika kuchoma vitu vyenye pin ndogo, kukausha unyevu, kuyeyusha wax au gundi, ku shape plastic insulator etc
Baadhi ya pin za hiyo port ya kuchajia zimevunjika au zimechomoka kutoka kwenye pcb (saket). Chunguza kwa makini kama hiyo port inatingishika, unaweza kuitingisha kwa sindano au toothpick.mkuu nimezima fegi(saluti) wewe itakua ni nyoko kwenye hizi ishu
swali la nyongeza tafadhali lakini liko nje ya mada :
nina galaxy s3 nikichomeka charge inaonyesha kialama cha kuingia charge lakini asilimia hazipandi badala yake zinashuka kama vile haijachomekwa charge ; na nikichomeka charge ikiwa nimeizima inatokea battery kama vile inataka kuonyesha inaingia halafu inazima mazima ..
Ufumbuzi wa hili tatizo unaweza kua ni nini???
N:B Tatizo hili halikuepo kabla na nimejaribu kubadilisha battery lakini hamna kilichobadilika
asante mkuu ntajaribu kuchunguzaBaadhi ya pin za hiyo port ya kuchajia zimevunjika au zimechomoka kutoka kwenye pcb (saket). Chunguza kwa makini kama hiyo port inatingishika, unaweza kuitingisha kwa sindano au toothpick.
Uwezekano mkubwa hilo tatizo ni la Hardware na sio software. Hivyo kuflash hakutasaidia. ( ila kama una uhakika port ipo sawa na battery ipo sawa yaani kwa ujumla kama hakuna tatizo la hardware flashing inaweza kuwa suluhisho). Dalili zote zinaonesha hilo ni tatizo la hardware.asante mkuu ntajaribu kuchunguza
swali la nyongeza:
kwanini nikijaza battery kwa kobe battery inadrain faster tofauti na ilivokua awali ? pia nini kinasababisha simu kunyonya charge? na mfano nikiflash hii simu je kuna uwezekano wowote wa hili tatizo kwisha?