Je ni kweli betri za samsung zina tracking device?

JaffarMohammed

JF-Expert Member
Nov 13, 2016
762
283
6cc90d00c487665035eb320005066761.jpg



Hellow JF Members!
Naomba kufahamu kama ni kweli betri za kampuni ya Samsung zina Tracking device na zinaweza kutuma Private Data zako na kwenye Savers zao?

Kama si kweli hizo kama wires zinaconnect kwenye power ya betri ni nini?

nimebandua cover ya betri langu ili muelewe ninachokiulizia.

Pia jaribu nawe kibandua cover hiyo tuone kama na kwako ipo. Tupia picha hapa.

ASANTENI
 
6cc90d00c487665035eb320005066761.jpg



Hellow JF Members!
Naomba kufahamu kama ni kweli betri za kampuni ya Samsung zina Tracking device na zinaweza kutuma Private Data zako na kwenye Savers zao?

Kama si kweli hizo kama wires zinaconnect kwenye power ya betri ni nini?

nimebandua cover ya betri langu ili muelewe ninachokiulizia.

Pia jaribu nawe kibandua cover hiyo tuone kama na kwako ipo. Tupia picha hapa.

ASANTENI
jaffar nimependa mkono wako...
betri ntaingalia baadae...
 
Inawezekana,nakumbuka mwaka jana Kilimanjaro marathon walituwekea kitu kama hicho hicho,kwenye namba zetu wakati wa marathon bila sisi wenyewe kujua,hiyo iliwasaidia kutrack watu wote waliokimbia siku hiyo ukizingatia kwamba kila mtu lazima awe na namba yake, iliwasaidia kujua kwamba umeanzia wapi kukimbia na umeishia wapi, nakumbika wale wote ambao tulianzia sehemu ambayo sio husika (MUCOBS) hatukuingia kwenys list ya watu waliokimbia ambayo wanaitoa kwenye website yao baada ya mbio kumalizika.

So probably yes!!!
 
Hao jamaa sijui huwa wanaajenda gani maana juzijuzi tu hapa ilithibitishwa kuwa TV za sumsang zina uwezo wa kunasa sauti ya watu wanaozungumza wakiwa karibu na TV hiyo kisha kuituma makao makuu yao hivyo watu wakatakiwa wawe makini katika mazungumzo yao karibu na TV hizo
 
Kwamfano kama wewe binafsi, Una taarifa gani nyeti ambayo unahisi Hao Samsung wakiipata itawafaidisha?
Au una kipi cha ziada ambacho samsung wanakitafuta???
Kumbuka zimelengwa kutumika worldwide kwa wema na wabaya hivyo sio rahisi kubashili mbaya ni nani ndo wamwekee, inawezekana ikawa kwa faida yao kuilinda kampuni yao au hata wakawa wanashirikiana na intelligensia hivyo huwezi jua
 
6cc90d00c487665035eb320005066761.jpg



Hellow JF Members!
Naomba kufahamu kama ni kweli betri za kampuni ya Samsung zina Tracking device na zinaweza kutuma Private Data zako na kwenye Savers zao?

Kama si kweli hizo kama wires zinaconnect kwenye power ya betri ni nini?

nimebandua cover ya betri langu ili muelewe ninachokiulizia.

Pia jaribu nawe kibandua cover hiyo tuone kama na kwako ipo. Tupia picha hapa.

ASANTENI
Unahofia nini? we ni Obama?
 
Kumbuka zimelengwa kutumika worldwide kwa wema na wabaya hivyo sio rahisi kubashili mbaya ni nani ndo wamwekee, inawezekana ikawa kwa faida yao kuilinda kampuni yao au hata wakawa wanashirikiana na intelligensia hivyo huwezi jua
Hizo ni hisia tu.
 
Hao jamaa sijui huwa wanaajenda gani maana juzijuzi tu hapa ilithibitishwa kuwa TV za sumsang zina uwezo wa kunasa sauti ya watu wanaozungumza wakiwa karibu na TV hiyo kisha kuituma makao makuu yao hivyo watu wakatakiwa wawe makini katika mazungumzo yao karibu na TV hizo
Mi kwangu naongea Kibarabaig. Hao watu wataambulia kweli?
 
6cc90d00c487665035eb320005066761.jpg



Hellow JF Members!
Naomba kufahamu kama ni kweli betri za kampuni ya Samsung zina Tracking device na zinaweza kutuma Private Data zako na kwenye Savers zao?

Kama si kweli hizo kama wires zinaconnect kwenye power ya betri ni nini?

nimebandua cover ya betri langu ili muelewe ninachokiulizia.

Pia jaribu nawe kibandua cover hiyo tuone kama na kwako ipo. Tupia picha hapa.

ASANTENI


Hiyo sio tracker bali inaweza kuwa chip ya NFC au Near Field Communication inyosaidia kuweza kuamisha information kati ya simu mbili zenye NFC au kufanya malipo, au kufanya automated process kwa kutumia NFC tags


Hata ukiangalia chini ya logo ya Samsung utaona imeandikwa "Near Field Communication" simu za Zamani NFC chip ilikuwa kwenye battery I'm sure hiyo ni note 4 lakini siku hizi zina we kwa nyuma ya simu au mbele kwa mfano Sony xperia XZ

Samsung au kampuni yote ya simu haitaji kukuwekea tracking device yoyote maana tayari wana full administrative privileges kwenye simu yako so wakijisikia, kuweka instructions kwenye OS yao ili kuwasha GPS kila ambapo simu yako screen ipo off wajue upo eneo gani wanaweza sema, hairuhusiwi kisheria ndio maana hawafanyi..

Sema hichi kitu wamekionyesha dhahiri kwenye simu zao za Note 7 walivyo watumia users updates ambazo zili ji download na kijiinstall kimya kimya bila muhusika kujua kitu na kulimit capacity ya simu ku charge.
 
Kwamfano kama wewe binafsi, Una taarifa gani nyeti ambayo unahisi Hao Samsung wakiipata itawafaidisha?
Au una kipi cha ziada ambacho samsung wanakitafuta???
Kuna kitu kinaitwa privacy ndugu! Hata kama huna cha kuficha.

Mie binafsi nina mengi ya kuficha kama picha za mke wangu za uchi.
 
Back
Top Bottom