Jaslaws JF-Expert Member May 31, 2011 6,016 5,296 Jan 31, 2017 #1 Wadau mambo vipi, Juzi usiku maeneo ya Tazara nliibiwa simu yangu ni iPhone 6,kwa bahati mbaya icloud haikuwa active. Details nyingine kama imei nnazo, najua uwezekano wa kuitrack Upo na JF kuwa hatushindwi naomba msaada wenu..!!
Wadau mambo vipi, Juzi usiku maeneo ya Tazara nliibiwa simu yangu ni iPhone 6,kwa bahati mbaya icloud haikuwa active. Details nyingine kama imei nnazo, najua uwezekano wa kuitrack Upo na JF kuwa hatushindwi naomba msaada wenu..!!
Kanungila Karim JF-Expert Member Apr 29, 2016 20,743 25,561 Jan 31, 2017 #2 unayo Tsh ngap nilifanyie kaz