Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu naomba mnisaidie simu yangu ina tatizo la kuchemka kila nifunguapo data ,nimejaribu kurestore simu zaidi ya mara tatu ili niondokane na hili tatizo la kuchemka kwa simu yangu lkn naona bado...
0 Reactions
70 Replies
17K Views
Halotel nao ni kimeo.
2 Reactions
47 Replies
8K Views
Habari ya majukumu wana jamvi? Nina modem ya TTCL ZTE zile ambazo zina line ya ndani (inbuilt line). Kwakuwa siitumii kwa zaidi ya mnusu mwaka, nami nikafikiri kuiformat ili niitumie kama thumb...
0 Reactions
2 Replies
843 Views
Nikiwa nataka ku follow mtu huniletea hiyo msg na nikiwa na unfollow mtu holeta hii msg Nisaidieni kwahili
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Sielewi nini maana halisi ya ku root simu. Hivi ukiroot ni kama ku flash au ku restore
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Niambie jina la simu nikufaha mishe
1 Reactions
65 Replies
14K Views
Wakuu msaada, Nimejifunza mengi kuhusu screen printing ila sijafanikiwa kujua majina ya dawa na chemical nahitaji kununua, nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndg zangu najua humu jamiiforums hakuna kinachoshindikana mimi nataka ku install whatsapp kwenye simu yangu nifauate hatua zipi ili niweze kukamilisha zoezi hili?
1 Reactions
5 Replies
933 Views
Kama vp we kachek na hizi.; 1. Unstoppable 2.Vantage point 3.The Event 4.Ben Carsor Haya sasa, nangoja zako..
0 Reactions
195 Replies
24K Views
Habari wadau? Kuna mtu ameniuzia IPad lakini ameniambia iOS yake ime expire hivyo hai support baadhi ya application za android je, naweza kufanyaje ?
1 Reactions
4 Replies
863 Views
Mwenye ujuzi anisahidie jinsi ya kupata Duccument za kwenye hiyo link jamani mana kila nikijaribu ku copy na shindwa..>>>Kanuni za ufugaji bora wa kuku
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello Wanatech! Nimekuwa natumia internet sana bila kuifahamu vizuri origin yake hasa ni wapi, nimeona ni heri niulize huku. 1. Ni nani alianzisha internet hapo kale? Elezea kidogo na historia...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
napata wakati mgumu kuchagua decoder ipi ni nzuri na yenye vifurushi nafuu kati ya startimes, zuku, na azam.
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Juzi niliingia JF kwenye internet cafe flani ivi, jana nilipoenda tena pale,nilishangaa kusikia naulizwa "kumbe wewe ndo kakaJ". Katika kufuatialia nikagundua kuwa, yule mdada alienda kwenye...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,muda si mrefu nilikua mtandaoni natafuta video editing software (Hitfilm) kwa kutumia laptop,kwa kua nilitype tu google kupata version ya software hiyo nimejikuta nafungua link...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Maomba nielekezwe jinsi ya kuondoa admin pasword kwenye pc bila kuformart plz.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wataalam naomb kufaham kwa hizi simu za tecno,,ambazo kila kukicha wanatoa matoleo mapya he mpaka kufikia sasa ni tecno gan ambayo ndio bora kuliko matoleo yote,,na yenye kamera ya ubora wa hal ya juu
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Habari za mdaa huu wana Jukwaa hili pendwa. Naomba kujuzwa kama hyo graphic card ya hii compture inaweza kutolewa au laa Chief mkwawa na wengine masaada
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Habari zenu wapendwa kichwa hapo juu kinajieleza juzi kati wezi walivunja madirisha ya nyumba nikiwa safarini na kufanikiwa kuiba laptop aina ya dell,television aina ya Samsung pamoja na...
0 Reactions
4 Replies
907 Views
Wadau niaje, ebhana nashindwa kitu kimoja, kila nikijaribu kupata huduma ya Go Live kwa TCL inagoma. Inaishia kuniambia kuwa Network unavailable, wakati huo huo nikiwa kwa Youtube au social apps...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom