Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Najua title inavutia na wengi watajua ni download link au crack imetoka.. Nope!!! Wengi tuna mazoea ya kungoja cracks au reloaded version za hizi AAA games, ila kwa EA na denuvo naona wamekaza...
2 Reactions
38 Replies
7K Views
Habari za muda huu, nimepatwa na tatizo na ninashindwa kulitatua, nilienda kwenye control Pannel na kufuta program zote za itunes kwa kuwa sizihitaji kwa sasa, lakini baada ya kufanya hivyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wadau..nilitaka kutengeneza VoIP ambayo inaweza kupiga Simu kwa simu za kawaida...ambayo inaweza kupiga Simu international....nimeanzisha iyo VoIP na inapiga kazi vzuri on video,audio...
1 Reactions
0 Replies
605 Views
Habari wapendwa mimi napenda sana teknolojia (Geek wa hali ya juu) sana na nina ndoto kubwa sana kuhusu teknolojia na lengo la kufungua thread hii ni kuwahamasisha wenzangu wanao penda teknolojia...
20 Reactions
73 Replies
9K Views
Naombeni munipe mwongozo wa kutengeneza android app
0 Reactions
3 Replies
708 Views
Hello wana IT.. Nahitaji game zuri la URUBANI linalocheza kwa PC... PC angu ni HP PROBOOK 450.. IKO NA 600GB HDD.. 256 VRAM.. 6GB RAM.. 1366X768 screen resolution.. Core i5.. 2.22ghz..... Naomba...
0 Reactions
2 Replies
850 Views
salaam wakuu Nina sm ya tecno y3 imeanza tatizo la kujizimazima yenyewe kwa muda fulan na kuiwasha haiwaki had itolewe betr na kurudishwa ndo iwake.hebu nisaidie hili tatizo✌
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Nahitaji Kununua Radio kwa ajiri ya mZiki wa Nyumbani ki getho getho sasa Nina laki 5 Hadi 8 mwsho nahitaji kupata Home theathre nzuri..itakayo dumu,iwe na mziki mkubwa kama bufa na...
1 Reactions
31 Replies
9K Views
Habari zenu,, Hivi katika website kuna uwezekano wa kudetect inchi ambayo mtembeleaji anatokea na aweze kuona content za nchi yake tu? Mfano kama hapa jamiiforums pangekuwa panajumuisha watu...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari waungwana,kama kichwa kinavoeleza halo juu simu yangu inasumbua sana inaniandikia android system has stopped muda wote
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Nina Flash ya Imation 8GB, kuna siku nilikuwa nacopy movie kutoka kwenye computer. Wakati bado inakopi movie nikachomoa flash, sasa kuirudishia tena ina niambia, "Remove write...
0 Reactions
1 Replies
757 Views
Natoa furasa hii kwa anayetaka kutengeneza pesa fasta, nahitaji Microsoft Kinect Sensor for XBox One. Pia nahitaji Microsoft XBox Kinect Adapter. Pesa hii hapa nimeishika mkononi.
0 Reactions
1 Replies
707 Views
Mambo vp wadau, Naezaje fix tatizo la baadhi ya templates kwenye blogger kutoonyesha ads mfano za seebait kwenye mobile view , ads inaonekana kwenye desktop view tu. Msaada wenu tafadhali wataalam.
0 Reactions
2 Replies
918 Views
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana ya Ilboru iliyopo Jijini Arusha akionyesha namna 'Robot' alilolitengeneza kwa kutumia zana mbalimbali. Rai yangu kwa watanzania tujaribu kuunga mkono...
4 Reactions
29 Replies
8K Views
Habarini wadau, Niende moja kwa moja kwenye tatizo langu.....Simu yangu tajwa hapo juu imekuwa iki-restart yenyewe mara kwa mara na nimeshindwa kujua tatizo ni nini Inafika wakati inaniambia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wataalamu! Hivi ni kwanini sikuhizi huu mtandao wa VODACOM Umekua ukisuasua?! Yani mambo ni tofauti kabisa na mitandao mingine mtandao wa Voda sikuhizi wamekua wa ajabu...
0 Reactions
2 Replies
650 Views
Habari wanajamvi napenda kuwakaribisha wote wanaohitaji android app kwa ajili ya kampuni,biashara au kwa mahitaji binafsi. Tunatengeneza app ambazo ni: 1. simple & Clean Interface - muonekano...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Habar zenu mimi ni hancy naomba msaada kama kunamtu anauelewa wa kupata domain kwaajili ya blog lakini iwe domain ya bure
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jaman programmers wenzangu nimeanzisha thread hii ili tushirikiane kuelewa na kujifunza c language naomba ushirikiano wenu
3 Reactions
6 Replies
916 Views
Back
Top Bottom