Mwanzilishi wa Internet.

Mwanzilishi wa Internet.

herikipaji

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
1,199
Reaction score
1,378
Hello Wanatech!

Nimekuwa natumia internet sana bila kuifahamu vizuri origin yake hasa ni wapi, nimeona ni heri niulize huku.

1. Ni nani alianzisha internet hapo kale? Elezea kidogo na historia alikuwa anafanya nini hadi akafanikiwa kugundua internet.

2. Ni vipi internet inafanya kazi kwenye hii global system? hapa elezea internet structure & infrastructure zake ili tuelewe vema.

3. Ni nani ana faidika sana na matumizi ya watu duniani ya internet? Na anafaidika vipi?

4. Je inawezekana ku switch off internet ili watu wasiweze kutumia kwa muda kwenye maeneo yao? Kama inawezekana hiyo main switch iko wapi na ni nani mwenye access authority ya hiyo main switch?

5. Nafikiria inawezekana kutumia bure internet yani kwa kutumia utundu watu wa tech najua mnanielewa hapa sababu kwenye tech hamna kinachoshindikana.

Nafahamu kuwa kuna providers kama Tanzania wapo TTCL nk sasa hawa hapa ni just providers wao wanapata access kutoka sehemu ndiyo wanakuja kutuuzia sisi end users sasa naomba kufahamu kule hawa local providers wanakopata access, yani origin yake kule.

- Maswali mengine nitaongeza kutokana na majibu ya wachangiaji.
 
  • Thanks
Reactions: dtj
wajuzi shusheni nondo basi. si kuna magreat thinker wa mambo haya umu.
 
Internet ilianzishwa na taasisi ya marekani iitwayo DARPA
 
Maswali mazuri sana, ila nahisi wakati inayaandaa ulikuwa unataka kulinganisha na nishati ya umeme ya TANESCO. .

Muda ikiruhusu nitaandika article ya hii mambo, umefanya nipate pakuanzia
 
Maswali mazuri sana, ila nahisi wakati inayaandaa ulikuwa unataka kulinganisha na nishati ya umeme ya TANESCO. .

Muda ikiruhusu nitaandika article ya hii mambo, umefanya nipate pakuanzia
Karibu ndugu utoe elimu unasubiriwa
 
Ukijua maana ya neno Internet utaweza kuwa umejibu baadhi ya maswali yako. Pia Internet haina mmiliki
 
Kwa kumbukumbu zangu internet ilianzia kwenye jeshi la US, na sio kwamba MTU mmoja ndio kaanzisha Bali internet ilitokana na matokeo ya tafiti ya kupata packet switch ndo baadae wakaja kudevelop protocols mbalimbali kwa ajili ya internetworking. Lakini kulikuwa taasisi mbalimbali ambazo zilikuwa zinafanya utafiti wa ARPANET.
 
Back
Top Bottom