Fifa 17 PC

h120

JF-Expert Member
Jan 10, 2012
2,544
3,361
Najua title inavutia na wengi watajua ni download link au crack imetoka.. Nope!!!

Wengi tuna mazoea ya kungoja cracks au reloaded version za hizi AAA games, ila kwa EA na denuvo naona wamekaza kaza mpaka leo 16 na 17 hamna crack inayoeleweka.

Binafsi niliangika na fifa 16 na ile bypass ya turk dm ila walishaziba mianya, ikabidi niwe mpole, nimetafuta alternative, ingawa ni ya malipo halali, kuna njia 2 za kupata hizo title kwa bei nafuu

1. Kununua Existing origin account yenye hiyo game
2.Kununua Fifa 16/17 origin redeem key

Njia ya kwanza mtu alinunua redeem key akachoka hilo game na kuamua kuuza account yake, njia ya pili ni kununua key mpya ambayo utaiweka kwenye origin ac ni kama unaingiza voucher then game litakuwa tayari lipo kwenye account yako na utaweza kulicheza popote.

Gharama.
online stores nyingi bei zinaanzia $35(discounted)-$99 Tsh 78,225/= - 221,265/=

Njia za kupata kwa bei nafuu ni kupitia ebay
Zipo account zinauzwa kuanzia $13-$25 inategemea na muuzaji, nyingi huwa ni bids(kama mnada mwenye dau kubwa huchukua)

Muhimu kuangalia ni feedback kutoka kwa buyers, kama +++++ ni nyingi basi shaka hamna.

Bids offers ni nzuri zaidi kwasababu unaweza pata kwa bei ya chini zaidi inategemea na ushindani wa bidders.

Nilinunua origin ac ikiwa na Fifa 17 kwa $14. ambayo ni sawa na 31,290/= account details zote nilibadili nikaweka zangu kwa hiyo ipo mikononi mwangu.
Faida ni kama una internet nzuri basi unaweza cheza online na wadau wengine, pia updates zote za squad na za game husika zinajimimina zenyewe we ni kuwa tu na bando la kutosha.

Maelekezo ya origin
Kama ukitaka kupakua demo ya fifa 16/17 au games nyingine za EA lazima uwe na origin account, na pia uta install client software kwenye PC yako, na kama umenunua account yenye game unachotakiwa ni kubadili details zote za account kuwa zako, na kisha uta-login kwenye client software then utaona games zilizopo kwenye hiyo account husika, ila nilazima uzipakue kwenye computer yako ili uweze kuzicheza, kwa fifa 17 unahitaji GB za kutosha 25GB-35G inaweza kuzidi pia kutegemeena na updates.

***Hii ni mahususi kwa wale waliochoka kungoja cracks****
21.jpg

1212.jpg

12.jpg
 
Najua title inavutia na wengi watajua ni download link au crack imetoka.. Nope!!!

Wengi tuna mazoea ya kungoja cracks au reloaded version za hizi AAA games, ila kwa EA na denuvo naona wamekaza kaza mpaka leo 16 na 17 hamna crack inayoeleweka.

Binafsi niliangika na fifa 16 na ile bypass ya turk dm ila walishaziba mianya, ikabidi niwe mpole, nimetafuta alternative, ingawa ni ya malipo halali, kuna njia 2 za kupata hizo title kwa bei nafuu

1. Kununua Existing origin account yenye hiyo game
2.Kununua Fifa 16/17 origin redeem key

Njia ya kwanza mtu alinunua redeem key akachoka hilo game na kuamua kuuza account yake, njia ya pili ni kununua key mpya ambayo utaiweka kwenye origin ac ni kama unaingiza voucher then game litakuwa tayari lipo kwenye account yako na utaweza kulicheza popote.

Gharama.
online stores nyingi bei zinaanzia $35(discounted)-$99 Tsh 78,225/= - 221,265/=

Njia za kupata kwa bei nafuu ni kupitia ebay
Zipo account zinauzwa kuanzia $13-$25 inategemea na muuzaji, nyingi huwa ni bids(kama mnada mwenye dau kubwa huchukua)

Muhimu kuangalia ni feedback kutoka kwa buyers, kama +++++ ni nyingi basi shaka hamna.

Bids offers ni nzuri zaidi kwasababu unaweza pata kwa bei ya chini zaidi inategemea na ushindani wa bidders.

Nilinunua origin ac ikiwa na Fifa 17 kwa $14. ambayo ni sawa na 31,290/= account details zote nilibadili nikaweka zangu kwa hiyo ipo mikononi mwangu.
Faida ni kama una internet nzuri basi unaweza cheza online na wadau wengine, pia updates zote za squad na za game husika zinajimimina zenyewe we ni kuwa tu na bando la kutosha.

Maelekezo ya origin
Kama ukitaka kupakua demo ya fifa 16/17 au games nyingine za EA lazima uwe na origin account, na pia uta install client software kwenye PC yako, na kama umenunua account yenye game unachotakiwa ni kubadili details zote za account kuwa zako, na kisha uta-login kwenye client software then utaona games zilizopo kwenye hiyo account husika, ila nilazima uzipakue kwenye computer yako ili uweze kuzicheza, kwa fifa 17 unahitaji GB za kutosha 25GB-35G inaweza kuzidi pia kutegemeena na updates.

***Hii ni mahususi kwa wale waliochoka kungoja cracks****

View attachment 481404
View attachment 481408
kwahyo ww ulivyopakua hizo gb 35 xjui so naweza kchukua kama mafile nkaweke kwenye pc yangu niendelee kula vitu
 
ila nafkiri EA wana zaidi ya denuvo sababu kampuni nyengine kama Konami na jamaa wa Football manager wametumia denuvo na crack zipo kasoro wao tu.

hongera mkuu kwa kutupa moyo
 
kwahyo ww ulivyopakua hizo gb 35 xjui so naweza kchukua kama mafile nkaweke kwenye pc yangu niendelee kula vitu
Hapana huwezi.
Utaweza kucheza na kudownload kwenye pc yoyote unapokuwa na ID/email na password + Game ndani ya account.
Vinginevyo utaishia kucheza demo which is free to download.
 
ila nafkiri EA wana zaidi ya denuvo sababu kampuni nyengine kama Konami na jamaa wa Football manager wametumia denuvo na crack zipo kasoro wao tu.

hongera mkuu kwa kutupa moyo
Yap ni kweli title nyingi wamezichapua ila sijui kwanini kwa fifa imekuwa kimya, leo CPY wameachia crack ya Hitman.
 
dah huwa sielewi hawa watu wa crack huwa kinawashinda nini kwa upande wa fifa. mana tusiokuwa na uwezo tunaukosa uhondo.
 
Hapana huwezi.
Utaweza kucheza na kudownload kwenye pc yoyote unapokuwa na ID/email na password + Game ndani ya account.
Vinginevyo utaishia kucheza demo which is free to download.
Bas tutakuja kukuona na ku log in kupitia account yako
 
Jaman wataalamu ili pc icheze fifa bila kustuck inahtaj angalau awe na ram gb ngap na processor???
 
Jaman wataalamu ili pc icheze fifa bila kustuck inahtaj angalau awe na ram gb ngap na processor???
Fifa gani? pia unaweza cheki online minimum system requirements kwa fifa husika.
 
13
13.PNG



fifa 14
14.PNG



fifa 15
15.PNG



Fifa 16
16.PNG



Fifa 17
17.PNG


Hata za chini ya hizo specs zinakubali kucheza ila kuganda ganda na game play huathiriwa na mashine za specs ndogo.
 
Back
Top Bottom